MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: BUWSSA Yapewa Bilioni 28 Kutatua Tatizo La Maji
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > BUWSSA Yapewa Bilioni 28 Kutatua Tatizo La Maji
Habari

BUWSSA Yapewa Bilioni 28 Kutatua Tatizo La Maji

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Danson Kaijage

DODOMA: MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mji wa Bunda (BUWSSA),kwa muda wa miaka minne  imepitishiwa miradi ya thamani ya Sh. Bilioni 28.1, mpaka sasa  Sh.Bilioni 11.89 tayari zimepokelewa, baadhi ya miradi imekamilika na mingine utekelezaji unaendelea.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa BUWSSA Esther Gilyoma alipokuwa akielezea mafanikio ya kipindi cha miaka minne  ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan jijini Dodoma.
Esther amesema miongoni mwa miradi iliyokamilika ni pamoja na wa ujenzi wa chujio la maji Nyabehu – Bunda ambao umegharimu Sh.Bilioni 10.6 , katika mradi huo wananchi 227,446 wananufaika.
Pia amesema  Mradi wa Miundombinu ya Majitaka Butakale – Bunda utekelezaji wake umefikia asilimia 46 na unagharimu Sh.Bilioni 1.72 huku wananchi 227,446 wanatarajiwa kunufaika.
Alitaja mradi mwingine ni ujenzi wa Maji Balili, Rubana na Kunzugu – Bunda umekamilika na umegharimu Sh.Milioni 759.8 na wananchi 7,699 wamenufaika.
Mradi wa Ujenzi wa Maji Manyamanyama Mugaja – Bunda, umekamilika ambao umegharimu Sh.Bilioni 1.13 na wananchi 7,012 wamenufaika.
Amesema kuwa Mradi wa ujenzi wa maji Misisi- Zanzibar Mjini Bunda umegharimu Sh.Milioni 733.24 na wananchi 7,042 wamenufaika na huduma ya majisafi na salama huku Mradi wa Kusambaza maji Wariku utekelezaji wake umefikia asilimia 40 na wananchi 33,088 wanatarajiwa kunufaika.
Pamoja na miradi hiyo, amesema kuna Mradi wa kusambaza maji Kisangwa umegharimu Sh.Milioni 716 na wananchi 20,688 wanatarajiwa kunufaika ambapo utekelezaji umeanza na upo asilimia sita.
Mradi wa kusambaza maji Migungani Kaswaka unagharimu Sh.Bilioni 1.2 na watanufaika wananchi 37,058, Mradi wa kusambaza maji Nyamswa Bunda utagharimu Sh.Bilioni 8.3 na watanufaika wananchi 51,935.
Mkurugenzi huyo amesema.Mamlaka ina mipango mbalimbali kwa ajili ya kuhakisha huduma inazidi kuinaimarika mjini Bunda kwa mwaka wa fedha 2025/26 .

 

.

You Might Also Like

Makala: Hakuna Kupita Bila Kupingwa

TEA Yaanza Utekelezaji Miradi Ya Amali Zanzibar

Mikataba ya zaidi ya bilioni 50 kuhamasisha nishati salama

WCF yapongezwa kwa Ithibati ya ISO, utoaji wa huduma kwa viwango vya kimataifa

RC Chalamila, Wasaidizi Wake Kukutana na Kadogosa Kuzungumzia Ujenzi Wa Reli Dar

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article MNH Kuvuna Mifupa Kutengeneza Taya
Next Article Watumishi Wanawake Wa TEA wajitoa Kwa Jamii
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?