MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Asha Moto Aibuka Kidedea Ubunge wa Viti Maalum Mtwara Kupitia CCM
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Asha Moto Aibuka Kidedea Ubunge wa Viti Maalum Mtwara Kupitia CCM
Habari

Asha Moto Aibuka Kidedea Ubunge wa Viti Maalum Mtwara Kupitia CCM

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
KATIBU wa Kamati ya Wanawake ya Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Asha Moto, ameibuka mshindi katika mchujo wa ubunge wa viti maalum mkoa wa Mtwara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika mchujo huo, Asha amewashinda wagombea wengine waliotia nia akiwemo Agnes Hokororo, Dkt. Rahman Hingora, Athumin Mapalilo, Days Ibrahim na Jane Chikomo.
Akizungumza mara baada ya kutangazwa mshindi, Asha amewashukuru wajumbe wa CCM kwa imani waliyoionyesha kwake na kuwaomba wakazi wa Mtwara kujitokeza kwa wingi ifikapo Oktoba 28, mwaja huu 2025 kwa ajili ya kuwapigia kura wagombea wa CCM.
“Mimi kama Mbunge wa Viti Maalum nitakayewakilisha mkoa wa Mtwara, nawahakikishia kuwa nitakuwa nanyi bega kwa bega, asubuhi na mchana katika shughuli zote za maendeleo,” amesema.
Amesisitiza kuwa lengo lake ni kushirikiana na wananchi kupambana na umasikini, huku akihimiza nafasi ya mwanamke katika kuimarisha familia na jamii kwa ujumla.
“Tutakuwa nguzo bora kwa familia zetu. Tusimame pamoja kwa maendeleo ya mkoa wetu na taifa kwa ujumla,”amesema.
Wito wake kwa wanawake wa Mtwara ni kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika mchakato wa kisiasa ili kuongeza uwakilishi wa wanawake wenye maono na uwezo wa kuleta mabadiliko chanya.

You Might Also Like

Baraza La Wafanyakazi Ni Kama Bunge – Magoiga

TARURA Dar Yaendelea Na Ujenzi Wa Miundombinu Ya Barabara Iliyosimama Kutokana Na Mvua

Mnyororo wa Biashara Kariakoo Unafanywa Na Wageni

Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27

VETA Kujenga Mahusiano Na Wenye Ujuzi, Wabunifu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TUCASA Yatoa Mapendekezo ya Sheria, Sera Kwa Serikali Kutatua Ucheleweshaji Wa Malipo
Next Article Njaa, Mafao Ya Wakulima Vyatikisa Kampeni Za Ubunge Dodoma Mjini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Wakazi Wa Ntyuka Wataka Kiongozi Mchapakazi
Habari August 1, 2025
Kisaro Ahojiwa Kuhusu Migogoro ya Ardhi,  Mwinje Ajitosa na Suluhisho la Miundombinu na Umiliki wa Ardhi
Habari August 1, 2025
Rais Samia Aipa Neema Miradi Ya Kuzalisha Umeme Iringa
Habari August 1, 2025
Malecela: Nitakuza Vipaji, Nitafutia Vijana Ajira Dodoma Mjini
Habari July 31, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?