MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Asha Moto Aibuka Kidedea Ubunge wa Viti Maalum Mtwara Kupitia CCM
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Asha Moto Aibuka Kidedea Ubunge wa Viti Maalum Mtwara Kupitia CCM
Habari

Asha Moto Aibuka Kidedea Ubunge wa Viti Maalum Mtwara Kupitia CCM

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
KATIBU wa Kamati ya Wanawake ya Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Asha Moto, ameibuka mshindi katika mchujo wa ubunge wa viti maalum mkoa wa Mtwara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika mchujo huo, Asha amewashinda wagombea wengine waliotia nia akiwemo Agnes Hokororo, Dkt. Rahman Hingora, Athumin Mapalilo, Days Ibrahim na Jane Chikomo.
Akizungumza mara baada ya kutangazwa mshindi, Asha amewashukuru wajumbe wa CCM kwa imani waliyoionyesha kwake na kuwaomba wakazi wa Mtwara kujitokeza kwa wingi ifikapo Oktoba 28, mwaja huu 2025 kwa ajili ya kuwapigia kura wagombea wa CCM.
“Mimi kama Mbunge wa Viti Maalum nitakayewakilisha mkoa wa Mtwara, nawahakikishia kuwa nitakuwa nanyi bega kwa bega, asubuhi na mchana katika shughuli zote za maendeleo,” amesema.
Amesisitiza kuwa lengo lake ni kushirikiana na wananchi kupambana na umasikini, huku akihimiza nafasi ya mwanamke katika kuimarisha familia na jamii kwa ujumla.
“Tutakuwa nguzo bora kwa familia zetu. Tusimame pamoja kwa maendeleo ya mkoa wetu na taifa kwa ujumla,”amesema.
Wito wake kwa wanawake wa Mtwara ni kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika mchakato wa kisiasa ili kuongeza uwakilishi wa wanawake wenye maono na uwezo wa kuleta mabadiliko chanya.

You Might Also Like

TARI Yabadilisha Kilimo kwa Teknolojia Mpya, Za Kisasa

UDSM Chasaini Mikataba Na Kampuni Za Kichina, Kujengea Uzoefu Wanafunzi Wake

TTCL Kuboresha Mifumo Kwa Kutumia Teknolojia Za Kisasa

August 10, 2024

Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TUCASA Yatoa Mapendekezo ya Sheria, Sera Kwa Serikali Kutatua Ucheleweshaji Wa Malipo
Next Article Njaa, Mafao Ya Wakulima Vyatikisa Kampeni Za Ubunge Dodoma Mjini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?