MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Asha Moto Aibuka Kidedea Ubunge wa Viti Maalum Mtwara Kupitia CCM
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Asha Moto Aibuka Kidedea Ubunge wa Viti Maalum Mtwara Kupitia CCM
Habari

Asha Moto Aibuka Kidedea Ubunge wa Viti Maalum Mtwara Kupitia CCM

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
KATIBU wa Kamati ya Wanawake ya Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Asha Moto, ameibuka mshindi katika mchujo wa ubunge wa viti maalum mkoa wa Mtwara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Katika mchujo huo, Asha amewashinda wagombea wengine waliotia nia akiwemo Agnes Hokororo, Dkt. Rahman Hingora, Athumin Mapalilo, Days Ibrahim na Jane Chikomo.
Akizungumza mara baada ya kutangazwa mshindi, Asha amewashukuru wajumbe wa CCM kwa imani waliyoionyesha kwake na kuwaomba wakazi wa Mtwara kujitokeza kwa wingi ifikapo Oktoba 28, mwaja huu 2025 kwa ajili ya kuwapigia kura wagombea wa CCM.
“Mimi kama Mbunge wa Viti Maalum nitakayewakilisha mkoa wa Mtwara, nawahakikishia kuwa nitakuwa nanyi bega kwa bega, asubuhi na mchana katika shughuli zote za maendeleo,” amesema.
Amesisitiza kuwa lengo lake ni kushirikiana na wananchi kupambana na umasikini, huku akihimiza nafasi ya mwanamke katika kuimarisha familia na jamii kwa ujumla.
“Tutakuwa nguzo bora kwa familia zetu. Tusimame pamoja kwa maendeleo ya mkoa wetu na taifa kwa ujumla,”amesema.
Wito wake kwa wanawake wa Mtwara ni kuhakikisha wanashiriki kikamilifu katika mchakato wa kisiasa ili kuongeza uwakilishi wa wanawake wenye maono na uwezo wa kuleta mabadiliko chanya.

You Might Also Like

Tanzania Na Namibia Kuongeza Juhudi Kukuza Ushirikiano Wa Kiuchumi

Mkurugezi Mkuu LATRA, Kamanda Ng’anzi Wafanya Ukaguzi Wa Kushtukiza Stendi Ya Magufuli

SADC Yatathmini Maendeleo ya Mpango wa RISDP Katika Mkutano wa 45 Madagascar

Serikali imejipanga Mkakati wa Taifa wa Matumìzi ya nishati safi ya kupikia – Mramba

Wapongeza Nyongeza Ya Likizo Kwa Aliyejifungua Mtoto Njiti

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TUCASA Yatoa Mapendekezo ya Sheria, Sera Kwa Serikali Kutatua Ucheleweshaji Wa Malipo
Next Article Njaa, Mafao Ya Wakulima Vyatikisa Kampeni Za Ubunge Dodoma Mjini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Diwani Kata Ya Majengo Awasihi Wananchi Kufanya Kazi Kwa Bidii
Habari February 16, 2026
Tanzania Yalenga Kufikia Asilimia 51 Ya Ushiriki Wa Wanawake Katika Sayansi
Habari February 14, 2026
Makamu wa Rais Asisitiza Ubunifu, Uwekezaji Soko La Hisa La Dar es Salaam
Habari February 13, 2026
JAB Yasisitiza Ithibati Kama Njia ya Kuimarisha Ubora na Uaminifu wa Habari
Habari February 13, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?