MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari

Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana

Author
By Author
Share
2 Min Read
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita, akisaini kitabu cha wageni katika banda la Bodi ya Bima ya Amana (DIB).
Na Mwandishi Wetu
GEITA: MKUU wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita amepongeza Bodi ya Bima ya Amana (DIB), kwa kazi inazofanya ambazo ni muhimu katika kuchangia uthabiti wa sekta ya fedha.
Mboni ametoa pongezi hizo alipotembelea banda la DIB, leo Septemba 22, mwaka huu 2025 katika Maonesho ya Nane ya Teknolojia ya Madini ambayo yanaendelea hapa mjini Geita.
Habari Picha 9506
Akiwa katika banda hilo, Mboni ameelezwa majukumu ya DIB kwamba ni kusimamia mfuko wa bima ya amana, kulipa fidia kwa wenye amana iwapo benki au taasisi ya fedha itafungwa na kufilisika,
 Pamoja na kuendesha shughuli ya ufilisi wa benki au taasisi ya fedha inapoteuliwa kufanya hivyo na Benki Kuu ya Tanzania.
Habari Picha 9507
Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mboni Mhita, akipokea zawadi kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Umma na Mawasiliano wa DIB,  Lwaga Mwambande, pembeni yake ni Ofisa Mwandamizi Mkuu wa DIB, Kulwa Kasuka.
Vile vile Mkuu huyo wa Mkoa ameelezwa kwamba kuanzia Julai mwaka huu 2025, DIB itakuwa na jukumu lingine la kupunguza hasara katika benki au taasisi ya fedha ambayo inapitia changamoto katika utendaji wake.

You Might Also Like

Kutoka 1975 hadi 2025: TUCTA Yatimiza Ndoto Ujenzi Jengo La Biashara Arusha

Mkakati Wa Utekelezaji Wa Sera Ya Malikale Lango La Fursa Za Utalii

TRA Kuzindua Boti Za Kisasa Kudhibiti Bidhaa Hatarishi

TEA Yatathmini Utekelezaji na Kupanga Mwelekeo Mpya Kupitia Baraza la Wafanyakazi

Wananchi Waelimishwe Kuhusu Utendaji wa Kamati za Maadili za Maofisa wa Mahakama

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article REA Yapamba Maonesho Ya Kitaifa Ya Teknolojia Ya Madini Geita
Next Article Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
REA Yapamba Maonesho Ya Kitaifa Ya Teknolojia Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?