MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya
Habari

Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
KIGOMA: MGOMBEA urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, amesema Tanzania inahitaji mabadiliko ya kweli na uongozi wenye mawazo mapya ili kuokoa uchumi wa taifa ambao, kwa maoni yake, umeharibiwa.
Akihutubia wakazi wa Nguruka, Kigoma Kusini, Mwalim amesema licha ya nchi kuwa na utajiri mkubwa wa rasilimali, maendeleo yamekuwa ya kusuasua, hasa katika mikoa kama Kigoma.
Habari Picha 9473
“Miaka 64 tangu tupate uhuru ndiyo Kigoma mnaiona lami kwa mara ya kwanza, katika nchi hii iliyojaa madini na ardhi ya kutosha kwa kilimo cha kila aina,” amesema.
Mwalim ametoa mfano wa Kenya, akieleza kuwa mafanikio ya uchumi wa nchi hiyo yanatokana na kuthamini elimu na kutumia rasilimali kwa tija.
Habari Picha 9474
Akijibu hoja ya umri katika uongozi, Mwalim amewataka vijana kutokukatishwa tamaa kwa hoja hiyo, akimtoa mfano wa Mwalimu Julius Nyerere.
“Urais siyo suala la umri. Mwalimu Nyerere aliongoza taifa hili akiwa kijana na ndiye alikuwa rais mwenye umri mdogo kuliko wote waliowahi kuliongoza taifa hili,” amesisitiza.
Amewataka wananchi, hususan vijana, kumpa nafasi ili kuonyesha namna ambavyo kizazi kipya kinaweza kuleta mageuzi.
“Chagueni CHAUMMA. Huu ndiyo wakati wa kujipima na kuamua tunaipeleka wapi nchi yetu. Nipimeni kwa dhamira yangu, siyo maneno tu, maana kizazi cha sasa si kizazi cha zamani,” alisema.

You Might Also Like

Katambi aitaka BRELA kuharakisha urasimishaji wa biashara

Wastaafu Watakiwa Kutafuta Ushauri  Wa Kitaalam Kwa Matumizi Ya Mafao

VETA Yaleta Mapinduzi ya Kilimo na Biashara Kupitia Bunifu –  Profesa Nombo

Vikao vya Kamati za Bunge Kuanza Januari 13, 2026 Dodoma

Serikali Yawapeleka Wauguzi 101 Nchini Saudi Arabia

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Zaidi Ya Wanachama 800 Wa TUGHE Watembelea Hifadhi Ya Mlima Kilimanjaro
Next Article Dkt. Biteko Aahidi Kuendeleza Miradi Mikubwa Bugelenga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mwandishi Lucy Ngowi Miongoni mwa Waliong’ara Mei Mosi
Habari May 2, 2026
Tanzania yaendelea kuwa Shule ya Utumishi Barani Afrika,
Habari April 29, 2026
Wizara Ya Kilimo Yaomba Bunge Kuidhinisha Trilioni 1.1,Yaweka Mikakati Kuimarisha Sekta Hiyo
Habari April 28, 2026
NSSF Yafikia Trilioni 11.2, Hifadhi Skimu Yatajwa Kubadili Maisha ya Watanzania
Habari April 27, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?