MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Zaidi Ya Wanachama 800 Wa TUGHE Watembelea Hifadhi Ya Mlima Kilimanjaro
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Zaidi Ya Wanachama 800 Wa TUGHE Watembelea Hifadhi Ya Mlima Kilimanjaro
Habari

Zaidi Ya Wanachama 800 Wa TUGHE Watembelea Hifadhi Ya Mlima Kilimanjaro

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
WANACHAMA zaidi ya 800 wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Sekta ya Umma (TUGHE) wametembelea Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro ili kuunga mkono jitihada za kukuza utalii wa ndani na kutambua fursa za uwekezaji katika sekta hiyo.
Habari Picha 9467
Katibu wa TUGHE, Hery Mkunda, amesema ziara hiyo imewasaidia wanachama kupata uelewa mpana kuhusu thamani ya urithi wa asili wa taifa.
Habari Picha 9464
Pia Naibu Kamishna wa Uhifadhi kutoka TANAPA, Steria Ndaga, amewapongeza kwa kuunga mkono utalii wa ndani, akieleza kuwa shughuli kama hizo huchangia pato la taifa na kutoa ajira kwa vijana.
Habari Picha 9463
Kamishna Msaidizi wa Uhifadhi, Jully Bede Lyimo, amesema kwamba utalii wa ndani una mchango mkubwa katika kukuza biashara ndogo ndogo, kuongeza mapato na kuimarisha uzalendo.
Kwa upande wake, Kaimu Mkuu wa Hifadhi ya Kilimanjaro, Amri Mtekanga, ametoa maelezo kuhusu vivutio vilivyopo pamoja na taratibu za kupanda mlima huo.
Pia washiriki wamepata fursa ya kushuhudia vivutio mbalimbali vikiwemo maporomoko ya maji, mimea ya kipekee na mandhari ya kuvutia ya Mlima Kilimanjaro, maarufu kama ‘Paa la Afrika’.
Habari Picha 9462
Ziara hiyo ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Utalii Duniani na inaonesha mshikamano wa Watanzania katika kuendeleza sekta ya utalii nchini.
Habari Picha 9468

You Might Also Like

Majaliwa Aagiza Sera Ya Elimu Kusimamiwa Kikamilifu

Salum Mwalim: Nitarejesha Hadhi ya Kanda ya Ziwa na Kuinua Zao la Pamba

Silinde: Serikali bega kwa bega na wadau wa kilimo

Mgombea Urais NCCR-Mageuzi Atoa Wito kwa Wananchi Kujitokeza Kupiga Kura

Majaliwa: Anwani Za Makazi Kupunguza  Safari Kwa Viongozi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mradi Wa Thamini Uzazi Salama Wakabidhiwa Vitendeakazi
Next Article Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume Ya Ulinzi Wa Taarifa Binafsi Yatoa Siku Saba Kwa Taasisi Kujisajili
Habari June 12, 2026
Teknolojia Ya Juisi YA Ndizi Kali Yafungua Fursa Mpya Za Viwanda, Ajira
Makala Uncategorized June 12, 2026
Serikali Yaingia Makubaliano Ya Ushirikiano Na DIT Kuimarisha Usimamizi Wa Mataifa
Habari June 8, 2026
Wananchi Waelimishwa Masharti ya Kubadilisha Noti Zilizochakaa, Kuungua na Kuchanika
Habari June 7, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?