MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Salum Mwalim: Hakuna Mtu, Taasisi Inayoweza Kuzuia Uchaguzi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Salum Mwalim: Hakuna Mtu, Taasisi Inayoweza Kuzuia Uchaguzi
Habari

Salum Mwalim: Hakuna Mtu, Taasisi Inayoweza Kuzuia Uchaguzi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MUSOMA – MARA: MGOMBEA urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, amesema hakuna mamlaka yoyote, iwe ya ndani au ya kimataifa, inayoweza kuzuia mchakato wa uchaguzi nchini, akisisitiza kuwa huo ni msingi wa haki ya kikatiba kwa wananchi.
Habari Picha 9336
Amesema hayo alipokuwa akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa wazi mjini Musoma, Mkoa wa Mara.
Mwalim amesema taasisi ya upinzani imejengwa kwa juhudi na gharama kubwa kwa miaka mingi, na hivyo haiwezi kuruhusu kuvurugwa kwa mchakato wa kidemokrasia kwa sababu zisizo na msingi.
“Uchaguzi ni njia halali ya kuleta mabadiliko. Hakuna sheria inayoruhusu mtu binafsi au taasisi yoyote kuuzuia. Hata taasisi za kimataifa hazina mamlaka hayo,” amesema.
Ameonya vikali dhidi ya kile alichokitaja kama njama za makusudi za kuhujumu demokrasia kwa kisingizio cha migogoro au misimamo ya kisiasa.
“Kususa uchaguzi si suluhisho. Ni kosa la kiufundi katika siasa za kimageuzi,” amesema.
Kauli ya Mwalim imekuja wakati kampeni za uchaguzi mkuu zikizidi kushika kasi, huku vyama vya siasa vikiendelea kujipanga kuwania nafasi mbalimbali za uongozi katika ngazi ya urais, ubunge na udiwani.

You Might Also Like

USAID yatoa Dola mil nane Kwa kampuni za Tanzania

Makamanda Wa Polisi Msiende Nyumbani na Vyeo Vya Ukamanda

Shemdoe aridhika huduma zinazotolewa na TVLA nanenane

Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa

JMAT Yatoa Neno Yanayoendelea Kwa Vijana Wa Kenya

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wanawake Wang’aa Mchakato Uchaguzi Mkuu 2025
Next Article Wananchi Uyui Wafurika Kumsubiri Mgombea Urais CCM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Twendeni Tukapige Kura Ya Ukombozi, CHAUMMA Yahitimisha Kampeni
Habari October 28, 2025
Elimu Ya Nishati Safi Ya Kupikia Yawafikia Maofisa Dawati Ngazi Ya Mikoa Na Halmashauri
Habari October 27, 2025
Wananchi wahamasishwa kuandika historia mpya kupitia kura
Habari October 25, 2025
Shibuda: WanaMaswa jitokezeni kupiga kura bila woga
Habari October 25, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?