MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai
Habari

Mafua, Kifua Yadaiwa Kusababisha Kifo cha Job Ndugai

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Danson Kaijage

DODOMA: Machite Mgulambwa, mdogo wa aliyekuwa Spika wa Bunge, marehemu Job Ndugai, amesema kifo cha kaka yake kimetokea kwa ghafla, akieleza kuwa kilisababishwa na mafua na kifua.

Machite ameeleza kuwa hadi tarehe 4 Agosti 2025, siku ya kukamilika kwa mchakato wa kura za maoni ndani ya CCM jimbo la Kongwa, Ndugai alikuwa na afya njema na alihitimisha kampeni zake kwa mafanikio.

Agosti tano, 2025 majira ya asubuhi Machite alizungumza naye kwa simu, ambapo Ndugai alilalamikia hali ya mafua na kifua lakini akasisitiza si tatizo kubwa.

ALimweleza kuwa atapumzika mjini kutokana na uchovu na vumbi la kampeni. Machite pia alieleza kuwa Ndugai alionekana na mipango ya msimu wa kilimo, jambo linaloonesha hakuwa na dalili za ugonjwa mbaya.

Kifo chake kimetangazwa rasmi na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson,

 

You Might Also Like

Ridhiwani Afanya Mazungumzo Na Balozi Wa China Nchini, Mingjian

TUGHE: Wafanyakazi wapewe haki ya kujiunga vyama vya wafanyakazi

VETA Yatahadharisha Changamoto ya Kuzidisha Uchanganyaji wa Chakula Cha Mifugo

PURA Yajipanga Gesi Asilia Itumike Kwenye Magari

October 2, 2024

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Zimbabwe Yakabidhi Uenyekiti Kwa Madagascar
Next Article Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?