MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: CMSA Yatoa Elimu ya Uwekezaji kwa Wananchi na Wakulima Nanenane
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > CMSA Yatoa Elimu ya Uwekezaji kwa Wananchi na Wakulima Nanenane
Habari

CMSA Yatoa Elimu ya Uwekezaji kwa Wananchi na Wakulima Nanenane

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) imejikita kutoa elimu kwa wananchi na wakulima kuhusu fursa za uwekezaji katika soko la mitaji na bidhaa, kupitia maonesho ya Nanenane Kanda ya Kati.
Mkurugenzi wa Uhusiano na Elimu kwa Umma wa CMSA, Charles Shirima, amesema kumekuwepo na ongezeko kubwa la wawekezaji kwenye kampuni za umma na mifuko ya uwekezaji, ukilinganisha na miaka ya nyuma.
“CMSA inaratibu na kusimamia uwekezaji katika hisa, hati fungani, na mifumo ya kusaidia kampuni na serikali kupata mitaji kupitia umma,” amesema Shirima.
Ameeleza kuwa wananchi sasa wanaweza kuwekeza akiba zao kwa njia endelevu kupitia mifuko ya pamoja, huku mifuko ya uwekezaji ikiongezeka kutoka mmoja hadi mingine, ikiwemo UTT-AMIS.
Kwa upande wake, Ofisa Uhusiano na Elimu kwa Umma, Stella Anastazi, amesema CMSA pia imeanzisha soko la bidhaa ili wakulima wapate masoko ya uhakika ndani na nje ya nchi.
Naye Christopher Ngonyani kutoka CMSA amesema mfumo huo umeongeza thamani ya uwekezaji wa wananchi, huku akihimiza ushiriki zaidi wa Watanzania ambao bado hawajaanza kuwekeza.
“Tunatoa elimu kuhusu umuhimu wa kuwekeza, hasa kupitia vipande ambavyo vinawapa wananchi gawio na kukuza mtaji wao,” amesema.

You Might Also Like

Dada wa kazi aliyejeruhi akamatwa

Wakandarasi Miradi wa  TAZA Watakiwa Kukamilisha Kazi kwa Wakati 

Wananchi Wahimizwa Kulinda Maeneo Yaliyohifadhiwa  Kisheria- Kamishna  Wakulyamba

eGA Yatengeneza  Mifumo  Kurahisisha  Kazi

Wahifadhi Saohill Wapongezwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA Yatahadharisha Changamoto ya Kuzidisha Uchanganyaji wa Chakula Cha Mifugo
Next Article TARI Yawaalika Wakulima Kujifunza Teknolojia Bora 88 Mkoani Morogoro
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?