MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TARURA Yatoa Elimu Nane Nane
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TARURA Yatoa Elimu Nane Nane
Habari

TARURA Yatoa Elimu Nane Nane

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeungana na taasisi nyingine za Serikali kushiriki Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane Kitaifa yanayoendelea katika Viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma, ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kuwafikia wananchi na wadau mbalimbali kwa kutoa elimu na kupokea maoni.
Akizungumza wakati wa maonesho hayo, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa TARURA, Catherine Sungura amesema lengo kuu la ushiriki wa TARURA katika maonesho hayo ni kutoa elimu kwa wananchi kuhusu majukumu ya wakala huo, hasa katika usimamizi wa ujenzi na matengenezo ya miundombinu ya barabara mijini na vijijini.
“Tumejipanga kutoa elimu kwa wananchi juu ya maeneo mbalimbali tunayoyasimamia ikiwemo matengenezo ya kawaida ya barabara, uboreshaji wa maeneo korofi, shughuli za maabara, masuala ya mazingira na ushirikishwaji wa jamii,” amesena.
Amebainisha kuwa kupitia wataalamu waliopo kwenye banda la TARURA, wananchi wataelimishwa namna wanavyoweza kushiriki moja kwa moja katika shughuli za matengenezo ya barabara kupitia vikundi vya kijamii, hatua inayolenga kuongeza ushirikiano baina ya Serikali na wananchi katika kuboresha huduma za miundombinu.
“Tunawahamasisha wananchi na wadau mbalimbali kutembelea banda letu ili kupata elimu ya moja kwa moja kuhusu fursa mbalimbali zinazopatikana TARURA, hasa zile zinazolenga kuinua ushiriki wa jamii katika miradi ya barabara,” amesema.
Pia amewahimiza wananchi kutembelea banda la TARURA pamoja na mabanda mengine ya taasisi zilizo chini ya Ofisi ya Rais – TAMISEMI, yaliyo katika hema maalum la “Government Zone Pavilion 2”, ambapo elimu zaidi kuhusu taasisi hizo inatolewa.

You Might Also Like

Tanzania, Uingereza Kushirikiana Kuendeleza madini.

MSD Yaokoa Zaidi Ya Mil. 15

Njaa, Mafao Ya Wakulima Vyatikisa Kampeni Za Ubunge Dodoma Mjini

Polisi Kata Kupewa Pikipiki Nchi Nzima Kuimarisha Ulinzi

𝐓𝐅𝐒 Y𝐚𝐧𝐝𝐚𝐚 M𝐤𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 W𝐚 M𝐢𝐚𝐤𝐚 1𝟎 Ku𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐳𝐚 N𝐚 K𝐮𝐡𝐢𝐟𝐚𝐝𝐡𝐢 M𝐢𝐬𝐢𝐭𝐮 Ya Mi𝐤𝐨𝐤𝐨 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐁𝐚𝐫𝐚

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wakazi Wa Ntyuka Wataka Kiongozi Mchapakazi
Next Article Jaji Mwambegele: Habari Sahihi ni Msingi wa Ushiriki Mpana wa Wananchi Kura 2025
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Jaji Mwambegele: Habari Sahihi ni Msingi wa Ushiriki Mpana wa Wananchi Kura 2025
Habari August 2, 2025
Wakazi Wa Ntyuka Wataka Kiongozi Mchapakazi
Habari August 1, 2025
Kisaro Ahojiwa Kuhusu Migogoro ya Ardhi,  Mwinje Ajitosa na Suluhisho la Miundombinu na Umiliki wa Ardhi
Habari August 1, 2025
Rais Samia Aipa Neema Miradi Ya Kuzalisha Umeme Iringa
Habari August 1, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?