MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Johari Ataka Ufasili wa Sheria za Uchaguzi Ukamilike
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Johari Ataka Ufasili wa Sheria za Uchaguzi Ukamilike
Habari

Johari Ataka Ufasili wa Sheria za Uchaguzi Ukamilike

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza Johari ameisisitiza Ofisi ya Mwandishi Mkuu wa Sheria (OCPD) kuhakikisha inakamilisha haraka kazi ya ufasili wa sheria zote kwa lugha ya Kiswahili,
Hususan zile zinazohusu uchaguzi mkuu na kanuni zake, kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu.
Amesisitiza hayo katika maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara yajulikanayo kama sabasaba yanayoendelea mkoani Dar es Salaam
Joharupamesema hatua hiyo ni muhimu katika kuongeza upatikanaji wa haki kwa wananchi kwa kuwawezesha kuelewa sheria zinazoongoza uchaguzi.
“Nafikiri tuendelee kuongeza jitihada katika kazi yetu tunayoifanya ya kufanya ufasili wa sheria, maana kwa kufanya hivyo tutawezesha ufikiwaji wa haki kwa wananchi vizuri hasa hizi sheria za uchaguzi na kanuni zake,” amesema.
Pia ameipongeza Ofisi hiyo kwa kazi nzuri ya utoaji wa elimu kwa umma kupitia maonesho hayo, akisema inasaidia kuwaelimisha wananchi kuhusu utungaji na utekelezaji wa sheria nchini.
Kwa upande wake, Mwandishi wa Sheria kutoka OCPD, Mariam Possi ameeleza kuwa wananchi wanaotembelea banda hilo wamekuwa wakionesha kiu kubwa ya kuelewa mchakato wa kutungwa kwa sheria, urekebishaji wake, na kazi ya ufasili kutoka Kiingereza kwenda Kiswahili.
“Katika kipindi chote cha maonesho, tumepokea wadau wengi wa sheria na wananchi kutoka maeneo mbalimbali wanaotaka kujua majukumu ya ofisi yetu na namna ya kuzipata sheria zilizorekebishwa toleo la mwaka 2023 pamoja na zile zinazofanyiwa ufasili kwa sasa,” amesema.
Amesema ufasili wa sheria ni nyenzo muhimu ya kuwezesha jamii kufahamu haki na wajibu wao kwa kutumia lugha inayofahamika na wengi.
Amesisitiza kuwa serikali itaendelea kutumia njia mbalimbali kuhakikisha sheria hizo zinawafikia wananchi kwa urahisi popote walipo.

You Might Also Like

PSSSF MSHINDI WA KWANZA TUZO ZA UANDAAJI BORA MAHESABU ZA NBAA, 2023

Kanisa la Yesu Kristo la Watakatifu wa Siku za Mwisho, Laleta Furaha Kwa Watoto

Wafanyabiashara: Tupo Tayari Kushirikiana na Serikali

TARURA yaimarisha ubora wa barabara kwa kuwa na maabara mikoani

Sekta Binafsi Zazuia Wafanyakazi Kujiunga Na Vyama Vya Wafanyakazi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article OCPD Nguzo Kuu ya Utungaji Sheria – Dkt. Ndumbaro
Next Article Tume Yapongeza OCPD kwa Mabadiliko ya Sheria
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?