MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Samia Kukagua Barabara Ya Mzunguko, Uwanja Wa Ndege Msalato Kesho
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Samia Kukagua Barabara Ya Mzunguko, Uwanja Wa Ndege Msalato Kesho
Habari

Samia Kukagua Barabara Ya Mzunguko, Uwanja Wa Ndege Msalato Kesho

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage.
DODOMA: RAIS Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 14, Juni 2025 atakagua maendeleo ya ujenzi wa Barabara ya Mzunguko wa nje wa Dodoma Km 112 na Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato.
Katika ziara hiyo, Rais  Samia ataambatana na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB),  Akinwumi Adesina.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,  Rosemary Senyamule amesema ziara hiyo itakayoanzia eneo la Mtumba-Veyula – Msalato itahitimishiwa kwa Rais   Samia kuzungumza na  wananchi katika eneo la Nala na hivyo kuwataka wananchi kujitokeza kwa wingi kushuhudia utekelezaji wa miradi mikubwa na ya kimkakati inayoendelea mkoani Dodoma.

You Might Also Like

Muswada kuja wa Watumishi Wanaofanya Kazi Eneo Zaidi ya Moja Kuanza kuchangiwa na Waajiri Wote

MBUNGE wa Kasulu Mjini Ahoji Serikali Kuhusu Mradi wa Maji Mwanga B

Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa

PDPC  Yashauriwa Kutoa Elimu Kuhusu Taarifa Binafsi 

Baraza La Wafanyakazi Ni Kama Bunge – Magoiga

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wanafunzi Kutoka Veta Kushiriki Mafunzo Japan
Next Article Dkt. Adesina Wa AfD Avutiwa Na Mwenendo Uchumi Wa Tanzania
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Watendaji Wakuu Waagizwa Kuifanya Dira 2050 Kuwa Mwongozo Wa Maamuzi Yao
Habari July 24, 2026
Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?