MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: UDSM Yatafiti Ndege Nyuki ‘Drone’ Inayopunguza Uchafuzi Wa Hewa Ukaa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > UDSM Yatafiti Ndege Nyuki ‘Drone’ Inayopunguza Uchafuzi Wa Hewa Ukaa
Habari

UDSM Yatafiti Ndege Nyuki ‘Drone’ Inayopunguza Uchafuzi Wa Hewa Ukaa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: MHADHIRI kutoka Idara ya Uhandisi Kilimo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Pascal Milindi amesema wamelenga kutafiti ndege nyuki zinazopunguza uchafuzi wa hewa.

Milindi amesema ndege nyuki hizo zinazotumika kwenye shughuli za kilimo katika mnyororo wa thamani wa kilimo ambao ni kumwagilizia dawa ya kukuzia miwa kwa haraka na kuongeza sukari, kwenye mashamba makubwa ya miwa kwenye viwanda vikubwa vya sukari ambavyo ni Kagera, Kilombero, Mtibwa na Manyara.

“Tulichokuwa tunafanya kwenye utafiti huu ni kutokana na mambo ya mabadiliko ya tabia nchi na hewa ukaa, sasa katika kila shghuli tunajaribu kuipunguza kadri iwezekanavyo.

“Kwenye shughuli hii ya kilimo tunajaribu kuangalia je? Matumizi ya ndege kwenye kumwagilia au kunyunyiza hizo dawa ya kukomaza miwa na tukitumia  hizo drone je hii teknolojia iliyoendelea ni kweli inasaidia kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kwa kuunguza hewa ukaa, ndiyo lengo kubwa la mradi huu,” amesema

You Might Also Like

Majaliwa awasili Kilimanjaro kufungua semina Mambo ya Ndani

Ridhiwan Kikwete awasilisha taarifa mwenendo wa ulipaji mafao

Rais Samia Azungumzia Mafanikio Ya Nishati Nchini

Dkt Biteko Awasili Nchini India Kwa Ziara Ya Kikazi

Spika Tulia Kufungua Kongamano La Uhuru Wa Wanataaluma Afrika UDSM

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mtafiti UDSM Atafiti Mimea Ya Asili Kudhiti Fangasi Kwenye Mimea
Next Article Ndege Ya TPHPA Yatua Rasmi Kudhibiti, Kwelea Kwelea, Viwavijeshi, Nzige 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Watendaji Wakuu Waagizwa Kuifanya Dira 2050 Kuwa Mwongozo Wa Maamuzi Yao
Habari July 24, 2026
Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?