MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wafanyakazi wa Majumbani Wajengewa Uwezo 
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wafanyakazi wa Majumbani Wajengewa Uwezo 
Habari

Wafanyakazi wa Majumbani Wajengewa Uwezo 

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
WAFANYAKAZI wa majumbani kutoka mikoa mbalimbali nchini pamoja na Waandishi wa Habari, wamejengewa uelewa juu ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi.
Pia wamejengewa uwezo juu ya  mapambano dhidi ya virusi UKIMWI.
Shirika la Kazi Duniani ( ILO), kwa kushirikiana na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania ( TUCTA) pamoja na Chama cha Wafanyakazi na Hifadhi, Majumbani, Huduma mbalimbali na Ushauri ( CHODAWU), wameendesha warsha hiyo kwa kada hizo.
Warsha hiyo imeendeshwa katika maadhimisho ya siku ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi.
Taarifa iliyotolewa imeeleza Waratibu waliofanikisha na kuwezesha katika warsha hiyo ni Meneja wa Mradi  kutoka ILO. Chiku Semfuko,  Asteria  Mathias kutoka CHODAWU, pamoja na Joseph Mukoji kutoka shirika la WoteSawa.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA),  Usekelege Mpulla ndiye amekuwa Mgeni Rasmi akiambatana na Mkurugenzi wa ILO Afrika Mashariki, Caroline Mugalla na Naibu Katibu Mkuu wa TUCTA, Rehema Rudanga.
Mpulla wakati akifungua warsha hiyo  amewapongeza  ILO kwa kuiandaa kwa wafanyakazi wa majumbani, ambayo itasaidia kubadili mitazamo ya jamii kuhusu kundi hilo muhimu.
Naye Mkurugenzi wa ILO, Carolline amesema kutokana na umuhimu wa mafunzo hayo, ametoa wito kwa mafunzo ya namna hiyo kuhusisha pia waajiri wa wafanyakazi wa nyumbani, kwa wakati ujao.

You Might Also Like

Marekebisho ya sheria huangalia mazingira ya sasa na yajayo – Tume

Mwalim: Lindi, Mtwara Tajiri kwa  Rasilimali, Maskini kwa Uongozi

Changamoto uchakataji Mkonge kupatiwa ufumbuzi

Wizara ya Maji Yawasilisha Vipaumbele 2026/2027 kwa Bajeti ya Trilioni 1.2

Sh. Bilioni 883.93 Zatumika Kutekeleza Miradi ya Maji, Usafi wa Mazingira

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Spika Tulia Aunguruma UDSM, Kongamano La Uhuru Wa Wana Taaluma Afrika.
Next Article Profesa Kabudi Amimina Pongezi TEA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kisasa Design: Kampuni ya Kitanzania Inayobadilisha Sekta ya Interior Design na Utengenezaji wa Samani
Habari June 6, 2026
Vidukari Hatari Vyafuatiliwa Mikoa 17 Kulinda Zao la Mpunga
Makala June 5, 2026
KARIBU ESCAPE LODGE SERENGETI – NYUMBA YAKO YA KIFAHARI KATIKATI YA UFALME WA WANYAMAPORI
Habari June 5, 2026
Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?