MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: JOWUTA : Waandishi Vitendeeni Haki Vyama Vyote
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > JOWUTA : Waandishi Vitendeeni Haki Vyama Vyote
Habari

JOWUTA : Waandishi Vitendeeni Haki Vyama Vyote

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

MOROGORO: WAANDISHI wa Habari nchini Tanzania wametakiwa kuandika na kutangaza habari za vyama vyote kwa usawa,.

Aidha Vyama vya Siasa vimetakiwa kutoingilia uhuru wa vyombo vya habari.

Mwenyekiti wa JChama cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania ( JOWUTA),,Mussa Juma ameeleza hayo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya waandishi wa habari Kanda ya Mashariki na Pwani yaliyofanyika mkoani Morogoro leo April 24,2025.

Juma amesema, kuelekea uchaguzi mkuu,.wanahabari nchini wanapaswa kutenda haki kwa vyama vyote vya siasa.

“Tunataka katika Uchaguzi Mkuu ujao wanahabari tuzingatie sana maadili,tuache ushabiki wa vyama na wale wenye mapenzi na vyama bora wajiweke kando katika tasnia hadi uchaguzi upite,” amesema.

Akitoa mada juu ya ulinzi na usalama kwa waandishi wakati wa uchaguzi,Juma amewataka wanahabari kujali usalama wao na usalama wa vyombo vyao vya kazi wakati wa uchaguzi na kabla.

“Kabla hujaandika habari fanya tathimini ya habari yako,inawagusa kina nani,je ina athari gani na kama inavitisho chukuwa tahadhar,” amesema

Naye Ofisa Uchaguzi wa Manispaa ya Morogoro,Shabani Duru akifungua mafunzo hayo amewataka waandishi wa habari kufanyakazi kwa weledi kuelimisha umma masuala ya uchaguzi.

Duru anesema, wanahabari ni wadau muhimu katika.uchaguzi mkuu na wataendelea kushirikisha katika mchakato wote wa uchaguzi.

Mwakilishi wa Mtandao wa watetezi wa haki za Binadamu (THRDC), Wakili
Jons Sendodo akitoa mada juu ya sheria za uchaguzi na kuripoti habari.za uchaguzi amewataka wanahabari kuzijua sheria lakini kuzingatia ukweli,Usahihi na masuala ya jinsia.

Wakili Sendodo, amewataka wanahabari kutambua umuhimu wa usalama.wao kazini na kujua kuna vyombo vya kuwatetea wanapokabiliwa na majanga.

Naibu Katibu Mkuu wa JOWUTA, Said Mmanga akitoa mada juu ya maadili ya uandishi kuelekea uchaguzi mkuu, amesema maadili ya waandishi muhimu kuzingatiwa.

Amesema kuelekea uchaguzi ni vizuri waandishi kuandika ukweli,kujiepusha na habari za uzushi na upendeleo na upotoshaji.

Mafunzo hayo ya wanahabari yanaendelea katika mikoa ya Mbeya,Iringa na Njombe na baadae Arusha kwa waandishi wa Kanda ya Kaskazini.

You Might Also Like

Kusiluka aitaka TVLA kuongeza tafiti za chanjo 

Tume Ya Mipango Yaelekeza Waandishi Wa Habari Kutoa Elimu Ya Dira Ya Taifa Ya Maendeleo 2050

Rais Mwinyi Ajionea Mifumo Mbalimbali Banda La Ofisi Ya Waziri Mkuu Sabasaba

Spika Zungu Atangaza Kifo Cha Mbunge Wa Peramiho, Jenista Mhagama

Thamani ya Fedha Ionekane Kwenye Utekelezaji wa Miradi-Nyamoga

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ridhiwani: Maandalizi Mei Mosi  Yafikia Asilimia 88
Next Article Ntonda Ameipongeza TEA Kwa Utekelezaji Bora Wa Miradi Ya Elimu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Teknolojia Ya Juisi YA Ndizi Kali Yafungua Fursa Mpya Za Viwanda, Ajira
Makala Uncategorized June 12, 2026
Serikali Yaingia Makubaliano Ya Ushirikiano Na DIT Kuimarisha Usimamizi Wa Mataifa
Habari June 8, 2026
Wananchi Waelimishwa Masharti ya Kubadilisha Noti Zilizochakaa, Kuungua na Kuchanika
Habari June 7, 2026
DMI Yawaalika Vijana Kujiunga Na Masomo Ya Ubaharia
Habari June 6, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?