MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
ยฉ 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: ๐“๐…๐’ Y๐š๐ง๐๐š๐š M๐ค๐š๐ค๐š๐ญ๐ข W๐š M๐ข๐š๐ค๐š 1๐ŸŽ Ku๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐š N๐š K๐ฎ๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข M๐ข๐ฌ๐ข๐ญ๐ฎ Ya Mi๐ค๐จ๐ค๐จ ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š ๐๐š๐ซ๐š
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
ยฉ 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > ๐“๐…๐’ Y๐š๐ง๐๐š๐š M๐ค๐š๐ค๐š๐ญ๐ข W๐š M๐ข๐š๐ค๐š 1๐ŸŽ Ku๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐š N๐š K๐ฎ๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข M๐ข๐ฌ๐ข๐ญ๐ฎ Ya Mi๐ค๐จ๐ค๐จ ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š ๐๐š๐ซ๐š
Habari

๐“๐…๐’ Y๐š๐ง๐๐š๐š M๐ค๐š๐ค๐š๐ญ๐ข W๐š M๐ข๐š๐ค๐š 1๐ŸŽ Ku๐ž๐ง๐๐ž๐ฅ๐ž๐ณ๐š N๐š K๐ฎ๐ก๐ข๐Ÿ๐š๐๐ก๐ข M๐ข๐ฌ๐ข๐ญ๐ฎ Ya Mi๐ค๐จ๐ค๐จ ๐“๐š๐ง๐ณ๐š๐ง๐ข๐š ๐๐š๐ซ๐š

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

DAR ES SALAAM: WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) umeandaa Mkakati wa Usimamizi na Uendelezaji wa Misitu ya Hifadhi ya Mikoko Tanzania Bara

utakaotekelezwa kwa kipindi cha mwaka 2025 hadi 2034, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi na kulinda mfumo ikolojia wa mikoko.

Ofisa Mratibu wa Mabadiliko ya Tabianchi kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Timotheo Mande, amesema mkakati huo ni nyenzo muhimu katika kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi zinazoathiri maeneo ya mikoko nchini.
“Kwa sasa, mchakato wa kukamilisha mkakati huo unaendelea kwa kukusanya maoni ya wadau kutoka wizara, taasisi za serikali na zisizo za kiserikali pamoja na sekta binafsi,” amesema.

Nayeย  Naibu Kamishna wa Uhifadhi TFS, Dkt. Abel Masota, amewataka wadau wote kutoa maoni yao kwa kina na uhuru ili kuhakikisha mkakati unaoandaliwa unakuwa jumuishi na unaotekelezeka kwa ufanisi.Kikao hicho kimeratibiwa kwa ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira (WWF), ambapo Mwakilishi wa Mkurugenzi wa WWF Tanzania, Yohana Mpagama, ameeleza kuwa shirika hilo litaendelea kushirikiana na serikali katika juhudi za kuhifadhi mikoko nchini.

Mkakati huo unatarajiwa kuimarisha uhifadhi wa mikoko katika eneo la takribani hekta 158,100, linalojumuisha wilaya 14 za ukanda wa pwani. Wilaya hizo ni Mkinga, Tanga na Pangani (Tanga); Bagamoyo, Mkuranga, Mafia na Kibiti (Pwani); Kinondoni, Ilala, Temeke na Kigamboni (Dar es Salaam); Kilwa na Lindi (Lindi); pamoja na Mtwara mjini (Mtwara).

Kikao cha kukusanya maoni hayo kimefanyika leo Aprili 17, 2025, jijini Dar es Salaam kikihusisha jumla ya wadau 75 kutoka maeneo mbalimbali.

You Might Also Like

Jaffo Aagiza Kufufuliwa Vilivyokuwa Viwanda Vya Serikali

Wanazuoni Kujadiliย  ย Diraย  Itakayojengaย  Uchumi Unaofikiaย  ย Dola Trilioni Moja

Wenye Ulemavu Wa Ngozi Wakumbukwa Kupitia FDH, Wapewa Msaada Wa Milioni 20

Kongamano La Kwanza La Kodi Kufanyika Dar es Salaam

Rais Samia na maadhimisho ya miaka 60 ya JWTZ

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article COSTECH, CRDB Foundation Yazindua Mikopo Nafuu Kwa Wabunifu
Next Article Simbachawene Asema Serikali Yajivunia Mafanikio TASAF
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
ยฉ 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?