MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni
Habari

TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Elimu Tanzania ( TEA), iko mbioni kutafuta zaidi ya Sh. Bilioni 10 kwa ajili ya kutekeleza mradi wa kuwezesha matumizi ya nishati safi ya kupikia kwenye takriban shule 500 za sekondari nchini ndani ya kipindi cha miaka mitano.
Aidha mamlaka hiyo imeungana na Ubalozi wa Uingereza pamoja na Shirika la Umoja wa Mataifa – Mpango wa Chakula katika kampeni ya kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia mashuleni.
Kaimu Mkurugenzi wa Utafutaji Rasilimali na Usimamizi wa Miradi ya Elimu wa TEA, Masozi Nyirenda amesema hayo katika warsha maalum iliyowakutanisha walimu wakuu, wapishi, na walimu wa lishe kutoka shule 50 za Halmashauri ya Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Warsha hiyo iliyofanyika katika Shule ya Msingi Liwati, imelenga shule zinazotarajiwa kufadhiliwa na WFP ili kuanza kutumia nishati safi ya kupikia.
Katika warsha hiyo, Nyirenda aliambatana na Kaimu Meneja wa Utafutaji Rasilimali na Hamasa wa TEA, Dkt. George Mofulu.
Nyirenda ametoa wito kwa wadau kushirikiana na mamlaka hiyo kufadhili mradi huo ili kutunza mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji.
Kwa upande mwingine, Balozi wa Uingereza nchini, Marianne Young pamoja na Mwakilishi wa WFP nchini, Ronald Tran Ba Huy, wamepongeza Serikali kwa juhudi zake za kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia mashuleni na kuahidi kuendelea kuunga mkono juhudi hizo.

You Might Also Like

BRELA kuanza kuwasajili wakulima

Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI

Munde Aahidi Kuboresha Miundombinu, Uchumi Wa Liwale

MOI Yazindua Mfumo Mpya Wa Kielektroniki Wa Kupanga Miadi Na Madaktari

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ridhiwani Aongoza Waliojiajiri Kujiunga, Kuweka Akiba NSSF
Next Article Waislamu Watakiwa Kusimamia Misingi Ya Upendo, Ushirikiano, Amani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Habari March 10, 2026
Mtaka, Ndunguru Wakubaliana Ujenzi wa Maabara ya Kimkakati Njombe
Habari March 10, 2026
Wataalamu wa Fedha SADC Wakutana Pretoria Kujadili Bajeti
Habari March 9, 2026
TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?