MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: VETA Mtwara Watua Na Mwani Maadhimishilo Ya Miaka 30
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > VETA Mtwara Watua Na Mwani Maadhimishilo Ya Miaka 30
Habari

VETA Mtwara Watua Na Mwani Maadhimishilo Ya Miaka 30

Author
By Author
Share
2 Min Read
– Wasema Unarekebisha Nguvu Za Kiume, Kupunguza Uwezekano Wa Kupata Tezi Dume

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: MTAALAMU wa Fani ya Maabara katika Chuo cha Ufundi Stadi (VETA), kilichopo Mtwara, Oliver Mbemba ameuelezea mwani kama zao bahari linalosaidia kwenye mfumo wa uzazi kwa wanaume na wanawake.
Kwa wanaume amesema zao hilo la  mwani linarekebisha nguvu za kiume, ikiwa ni pamoja na kupunguza uwezekano wa kupata tezi dume.
Mbemba amesema hayo wakati wa Maadhimisho ya miaka 30 ya uanzishwaji wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi ( VETA), yanayoendelea Katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere Dar es Salaam (JNICC).
Akizungumza kwenye Banda la Maonesho la VETA Mtwara, amesema kwa wanawake inasaidia kurekebisha uiano wa homoni na kuondoa maumivu wakati wa hedhi.
“Pia linasaidia wamama wanaonyonyesha kwenye uzalishaji wa maziwa,” amesema.
Amesema zao bahari hilo lina madini 92 ambayo hufanya kazi mbalimbali katika mwili ikiwemo pia utunzaji wa ngozi, mfumo wa mzunguko wa damu mwilini kwani huweza kurekebisha shinikizo la juu la juu, na shinikizo la chini la damu.
Amesema chuo hicho wamekuwa wakifanya tafiti kwenye udongo na mazao bahari ambayo ni mwani, lakini pia maji salama yanayotumika hospitalini.
” Ni fani kamili mwanafunzi anasoma mwaka wa kwanza mpaka wa tatu, akimaliza atafanya kazi kiwanda chochote,” amesema.
Amesema pia wana bidhaa mbalimbali za mwani ikiwemo unga wake ambao hutumika kwenye chakula, sabuni za kuogea, mafuta ya maji na mgando.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Anthony Kasore amesema wataendelea kutoa elimu ya ufundi stadi pamoja na kusimamia bunifu na teknolojia mbalimbali.

You Might Also Like

Askofu Akemea Midoli Kuvishwa Nguo Za Ndani

Madaktari Bingwa, Wauguzi Wabobevu Wa Mama Samia Watoa Mafunzo Ya Huduma Kwa Mama Na Mtoto, Hospitali Ya Wilaya Ya Singida

Rais Mwinyi Azindua Ripoti ya Jiolojia, Utafiti Madini zanzibar

Majaliwa Aagiza Sera Ya Elimu Kusimamiwa Kikamilifu

Watanzania wasisitizwa kulinda mazingira ya miundombinu ya umeme

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania Ina Utolevu Wa Chakula Kwa Miaka Minne Uongozi Wa Samia
Next Article VETA Mikumi Yatengeneza Mashine Ya Kuchakata Majani Ya Mifugo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?