MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Japan Yatoa Bilioni 27 Kuboresha Sekta Ya Afya
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Japan Yatoa Bilioni 27 Kuboresha Sekta Ya Afya
Habari

Japan Yatoa Bilioni 27 Kuboresha Sekta Ya Afya

Author
By Author
Share
3 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: SHILINGI Bilioni 27 zimetolewa na Serikali ya Japan nchini Tanzania kwa ajili ya  kuboresha  sekta ya afya nchini.
Akisaini mkataba wa msaada huo jijini Dar es salaam leo Machi 14, 2025 Katibu mkuu wizara ya Fedha, Dkt Natu Mwamba amesema fedha hizo zitatumika katika ununuzi wa vifaa-tiba ili kuimarisha huduma za afya ya mama na mtoto hapa nchini.
Amesema  ufadhili huo unaendana na Mpango wa sasa wa Maendeleo wa Miaka Mitano unaolenga kutatua changamoto za ubora katika utoaji huduma za afya nchini.
“Ufadhili huu unaunga juhudi za Serikali ya Tanzania kwenye sekta ya afya, zinazolenga kuhakikisha huduma bora za afya zinapatikana kwa wakati kwenye jamii,” amesema.
Dkt Mwamba amesaini nyaraka mbili ambazo ni kati ya Wizara ya Fedha na Ubalozi wa Japan na nyingine  kati ya Wizara ya Fedha na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Japan (JICA).
Kwa upande wa Tanzania mradi huo utatekelezwa na Wizara ya Afya.
“Utekelezaji wa mradi huu utaboresha kwa kiasi kikubwa upatikanaji wa huduma bora za afya hususani Huduma ya Mama na Mtoto kwa kutoa vifaa-tiba vya kisasa vitakavyoongeza uwezo wa kufanya uchunguzi na matibabu,” amesema.
Ametaja  hospitali saba za Rufaa ambazo  mradi utatekelezwa kuwa ni hospitali ya Dodoma, Hospitali ya Tumbi iliyoko mkoa wa Pwani, Hospitali ya Mount Meru iliyoko Arusha, Hospitali ya Sekou-Toure iliyoko Mwanza.
Nyingine ni Hospitali ya Songea iliyoko Ruvuma, Hospitali ya Maweni iliyoko mkoani Kigoma na Hospitali ya Lumumba  iliyoko Zanzibar.
Amesema msaada huo ni mwendelezo wa ushirikiano unaokuwa kati ya nchi zetu mbili kama inavyodhihirishwa na kuongezeka kwa namba ya miradi ya maendeleo inayofadhiliwa na Serikali ya Japan kupitia misaada na mikopo nafuu.
Naye Balozi wa Japan nchini, Yoichi Mikami amesema msaada huu utasaidia kuanzia ngazi za chini, kwamba Japan imekuwa ikitoa misaada katika sekta ya afya ili kuchochea maendeleo.
“Serikali ya Japan itaendelea kushirikiana na Tanzania ili kuweza kuchochea maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi na kuboresha Maisha ya Watanzania,” amesema.
Kwa upande wa Mwakikishi Mkuu wa JICA nchini Tanzania, Hitoshi ARA amesema JICA imekuwa mstari wa mbele kusaidia sekta ya afya nchini, Hitaji la Vifaa vya Matibabu katika Hospital za Kanda.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Ismail Rumatila amesema  hospitali hizo zitaweza kutoa vifaa-tiba vya kisasa vitakavyoongeza uwezo wa kufanya uchunguzi na matibabu.
“Tunaishukuru serikali ya japan kwa kuendelea kushirikiana na Tanzania hasa katika sekta ya afya,” amesema.

You Might Also Like

SOKO LA MADINI LA 43 LA ZINDULIWA TUNDURU RUVUMA.

Kumekucha Uzinduzi wa Washirika wa Tamasha, Tuzo Za Filamu Tanzania 2025

Ushiriki Wa Wanawake, Wasichana Katika Sayansi Ni Mdogo

Midea Group Yafungua Duka Mlimani City Dar Es Salaam

Mtafiti UDSM Atafiti Mimea Ya Asili Kudhiti Fangasi Kwenye Mimea

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt. Tumbo Aitaka Jamii Kuelimishwa Namna Bora Ya Kuhifadhi Taka
Next Article AUWSA Kutibu Maji Taka Yatumike Kwenye Kilimo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?