MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mbogamboga Na Vitunguu Vyaingiza Sh. Milioni 370 Kwa Miaka Minne
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mbogamboga Na Vitunguu Vyaingiza Sh. Milioni 370 Kwa Miaka Minne
Habari

Mbogamboga Na Vitunguu Vyaingiza Sh. Milioni 370 Kwa Miaka Minne

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: MAZAO ya Mbogamboga pamoja na vitunguu vinavyozalishwa nchini Tanzania ni sehemu ya maendeleo na kuchangia pato la taifa kwa kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara (TANTRADE), Latifa Mohamed Khamis, amesema hayo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio na mwelekeo wa mamlaka hiyo katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita.
Amesema, “Mafanikio katika kipindi Maonesho ya Mbogamboga Expo Doha, 2023/24 Kampuni 13 zilishiriki na kufanikisha mauzo ya papo kwa papo ya Sh. Milioni 370,”.
Amesema fursa za mauzo za Sh. Milioni 125 zilifunguliwa kupitia mazungumzo ya kibiashara.
Pia amesema Kampuni za Qatar zilionesha nia ya kuwekeza katika usindikaji wa chakula na usimamizi wa taka.
Aidha amesema maonesho ya Biashara ya Afrika (AfCFTA Exhibitions on Intra-Africa Trade) ya mwaka 2023 ambapo,
Mauzo ya papo kwa papo yenye thamani ya Sh.  Bilioni 2.17 yalifanyika na kuongeza kuwa Mikataba ya biashara yenye thamani ya  Sh. Bilioni 17 ilisainiwa.
“Katika kipindi hiki, TanTrade imefanikiwa kupanua masoko, kusaidia biashara za Tanzania kupata fursa za kimataifa, kujenga uwezo wa wafanyabiashara wadogo na wa kati, na kuboresha mifumo ya upatikanaji wa taarifa.
Ameeleza kuwa uratibu wa DITF ambao umewezesha mafanikio  kwa kipindi cha mwaka 2020/21 -2023/24,washiriki wa ndani wameongezeka kutoka 2,926 hadi 3,503, huku washiriki wa nje wameongezeka  kutoka 76 hadi 451.

You Might Also Like

Kagera, Geita kuanza uboreshaji daftari la kudumu la wapiga kura

Michezo Yapunguza Uhalifu Dodoma

Ufugaji wa sungura ni fursa  – UDOM

Kanisa lakabidhi jengo la watoto la milioni 595 kwa serikali

Askofu Akemea Midoli Kuvishwa Nguo Za Ndani

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ukusanyaji Mapato Halmashauri Hauridhishi – Ndugange
Next Article Taasisi Za Dini Zinazofanya Biashara Zinatakiwa Kulipa Kodi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?