MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Watumishi Wanawake Wa TEA wajitoa Kwa Jamii
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Watumishi Wanawake Wa TEA wajitoa Kwa Jamii
Habari

Watumishi Wanawake Wa TEA wajitoa Kwa Jamii

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WATUMISHI wanawake wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA),  Leo Machi saba, 2025 wametembelea Kituo cha Kulea Watoto Miuji Nyumba ya Matumaini Jijini Dodoma kama sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani ambayo kilele chake huadhimishwa  Machi nane kila mwaka.
Katika ziara hiyo, wametoa msaada wa bidhaa mbalimbali, ikiwemo chakula vikiwa na thamani ya zaidi ya Sh. Milioni 1.7 kwa ajili ya watoto 65 wanaolelewa kituoni hapo.
Mlezi wa kituo hicho,  Sr. Hellen akipokea msaada huo  ameishukuru mamlaka hiyo kwa mchango wao.
Akitoa shukrani hizo amesema, kituo hicho hutegemea misaada ya wadau ili kuhudumia watoto wake.
Naye Meneja wa Rasilimali Watu na Utawala wa TEA, Alice Lukindo, amesema  wanawake wa TEA wameamua kusherehekea siku hiyo kwa kuleta faraja kwa watoto.
“Wanawake tuna wajibu wa kutunza familia na jamii. Leo tumeamua  kugusa maisha ya watoto hawa.”
“Kuadhimisha ni kufanya matendo mema,” amesema.

You Might Also Like

Ridhiwan Kikwete aitaka LESCO kushirikiana na serikali

IITA Kuleta Mabadiliko Ya Kilimo Afrika

Makumbuli: Tunapinga kilimo cha bangi na mirungi

REA Yatoa Milioni 38.2 kwa ajili ya kufungwa mfumo wa nishati safi, Shule ya Samia

Erio atoa elimu ya bidhaa bandia kwenye mabanda nanenane

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article BUWSSA Yapewa Bilioni 28 Kutatua Tatizo La Maji
Next Article RC Dodoma Atoa Maagizo Kwa Ma – DC Kuhusu Ukame
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Miwa Zenye Tija ya Tani 200 kwa Hekta Zaendelea Kuwanufaisha Wakulima
Habari August 7, 2025
Mbegu Bora za Mpunga Zazalishwa TARI Dakawa, Ifakara
Habari August 7, 2025
Mtego wa Inzi Wa Matunda Suluhisho Salama kwa Wakulima
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?