MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Italia Kuangazia Fursa Za Uwekezaji Ambazo Hazijatambuliwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Italia Kuangazia Fursa Za Uwekezaji Ambazo Hazijatambuliwa
Habari

Italia Kuangazia Fursa Za Uwekezaji Ambazo Hazijatambuliwa

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Lucy Lyatuu

UBALOZI wa Italia Tanzania pamoja na Wakala wa Biashara wa Italia (ICE) kwa kushirikiana na Wizara Ya Mambo Ya Nje na Ushirikiano Wa Afrika Mashariki kupitia Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC) wameandaa kongamano la kibiashara  litakaloangazia fursa za uwekezaji ambazo hazijatambuliwa na kutumika kikamilifu nchini Tanzania.
Kongamano hilo linatarajiwa kufanyika nchini kwa siku mbili kuanzia Februari 11 =12  likiwa na  wawekezaji zaidi ya 40 kutoka nchini Italia,tukio ambalo litawezesha kukuza kukuza biashara na uwekezaji,
Akizungumza  leo Dar es Saalam, Mkurugenzi wa Uhamasishaji Uwekezaji Kimataifa kutoka TIC, John Mmali amesema  kongamano hilo  linatarajiwa kuvutia ushiriki wa mamlaka kutoka Tanzania na Italia,mashirika ya sekta binafsi, mitandao ya biashara ya kikanda na vyama vya ushirika.
Amesema madhumuni ya kongamano ni kukuza biashara baina ya pande mbili,kuimarisha ushirikiano wa uwekezaji na kujenga mitandao ya kibiashara kupitia mijadala ya wazi,warsha za kitaalam na ziara kibiashara zenye dhumuni la kutoa mafunzo na kushirikisha ujuzi ujuzi na maarifa  jambo litakalosaidia wadau kuelewa hali yamuchumi,mitazamo ya  kibiashara na kuimarisha mahusiano thabiti na wadau huku wakitafuta fursa za uwekezaji katika sekta tofauti.
Kwa upande wake Balozi wa Italia nchini,  Giuseppe Coppola amesema kongamano litaangazia fursa za  uwekezaji  ikiwemo teknolojia za kilimo na uchumi wa buluu ikihusisha  utaalamu kwenye masuala ya mbolea mifumo ya umwagiliaji , ufugaji, matumizi ya ngozi, ufugaji wa samaki  na usambazaji.
KadhaIka amesema eneo lingine litakaloangaziwa ni uchumi wa kijani na miundombinu endelevu, uzalishaji wa nishti safi kutokana na ta, nishati mbadala,kemikali za kusafishia maji,usafirishaji,miundombinu endelevu,maendeleoo ya kidigitali na madini.
Balozi amesema eneo lingine ni sekta ya afya na dawa,teknolojia za afya, mashine, huduma za kiafya,vifaa vya meno ,vifaa vya michezo na huduma nyinginezo.
Amesema Tanzania inasafirisha bidhaa za kilimo.madini na maliasili kama vile kahawa, chai, Pamba,samaki,madini na Vito vya thamani kwenda Italia huku nchi hiyo ikionesha nia ya dhati ya kuwekeza Tanzania katika sekta ya utalii na kilimo.
Kamishna wa Biashara ICE,Claudia Pasqualucci amesema mahusiano ya Tanzania na Italia yameendelea kukua kwa kasi katika miaka ya hivi karibuni,biashara baina ya nchi hizo zimeimarika kwa kiasi kikubwa katika sekta mbalimbali ikiwemo viwanda,ki.imo,utalii,ushirikiano wz kiufundi,mashi e,kemikali,vifaa vya umeme,dawa na bidhaa  za chakula.

You Might Also Like

Mkakati Wa Utekelezaji Wa Sera Ya Malikale Lango La Fursa Za Utalii

Majaliwa Ataka Yatolewe Mafunzo Yanayozingatia Soko La Ajira

Chalamila Asema Serikali Inafanyia Kazi Changamoto, Mradi Wa Mabasi Yaendayo Haraka

Kampuni ya Kichina CCCC yatoa msaada wa vitabu UDSM

Mpanduji Wa COTWU – T Aelezea Changamoto Zinazowakabili Waendesha Bodaboda, Bajaji

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Samia Mgeni Rasmi Siku Ya Wanawake Jijini Arusha
Next Article Usajili Kwa Njia Ya Mtandao, Umeharakisha Ufunguaji Mashauri
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?