MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Baraza Kuu TUGHE Lasisitiza Haki, Wajibu Kuleta Tija Sehemu Za Kazi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Baraza Kuu TUGHE Lasisitiza Haki, Wajibu Kuleta Tija Sehemu Za Kazi
Habari

Baraza Kuu TUGHE Lasisitiza Haki, Wajibu Kuleta Tija Sehemu Za Kazi

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: WAFANYAKAZI wametakiwa kutimiza wajibu wao ipasavyo ili tija iwepo katika maeneo ya kazi.
Aidha waajiri wanapaswa kutimiza haki za watumishi wao kulingana na makubaliano katika mikataba yao.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Joel Kaminyoge amesema hayo alipozungumza na Waandishi wa Habari baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Baraza Kuu TUGHE kwa mwaka 2024.
Kaminyoge amesema  endapo kila upande yaani mwajiri na mfanyakazi utatimiza wajibu wake itasaidia kufanya sehemu za kazi kuwa salama, kukua kwa uzalishaji na hatimaye kufikia malengo yanayokusudiwa.
Kwa upande mwingine amesema Chama kimepiga hatua kubwa ambapo sasa kinatimiza miaka 30 tangu kilipoanzishwa.
Ametaja hatua hizo ni pamoja na huduma  za ushauri wa kisheria kwa wanachama, kuimarisha mahusiano na wadau, uwekezaji katika maeneo mbalimbali ndani ya Chama pamoja na kusimamia maslahi ya watumishi nchini.
Naye Katibu Mkuu wa TUGHE, Hery Mkunda ameeleza kuwa Chama kinapoadhimisha miaka 30 tangu kuanzishwa kwake, kinajivunia kuwa mstari wa mbele katika kusikiliza kero za wafanyakazi hususani wanachama wao na kuzitafutia ufumbuzi kwa kushirikiana na serikali pamoja na wadau.
Ametolea mfano  migogoro  inapoibuka kati ya wafanyakazi na waajiri wake TUGHE imekuwa mstari wa mbele kuhakikisha suluhisho linapatikana.

You Might Also Like

Bodi Ya Wadhamini Ya NSSF Yaridhishwa Na Uwekezaji Wa Ubia Na Jeshi La Magereza

Rais Samia aungwa mkono na Tughe, watalii 800 watua Ngorongoro

Sera mpya ya biashara irahisishe ufanyaji biashara

Wafanyakazi wa Majumbani Wajengewa Uwezo 

BAKITA Lapongeza Sheria Za Tanzania Kuandikwa Kwa Lugha Ya Kiswahili

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ridhiwani Aipongeza Mahakama Kuzingatia Ajira Kwa Wenye Ulemavu
Next Article Aprili 2025 Matokeo Awamu Ya Kwanza, Maoni Dira Ya Taifa Na Maendeleo 2050 Kutolewa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?