MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Makalla Aeleza Jinsi CCM Ilivyosimamisha Nchi Mchakato Kura Za Maoni
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Makalla Aeleza Jinsi CCM Ilivyosimamisha Nchi Mchakato Kura Za Maoni
Habari

Makalla Aeleza Jinsi CCM Ilivyosimamisha Nchi Mchakato Kura Za Maoni

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: .HAKUNA chama kingine cha siasa zaidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichosimamisha nchi katika mchakato wa kura za maoni wa kuwania nafasi katika chama hicho, katika uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu, wa Viongozi wa Serikali za Mitaa.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla amesema hayo leo Mkoani Dar es Salaam.

Amesema ni wazi kura za maoni ndani ya chama hicho zilisimamisha nchi kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, hivyo walichukulia changamoto zilizojitokeza kuwa ni changa kwenye chama kikubwa kama CCM.

“Na yale ambayo yako ndani ya uwezo wetu tuliendelea kuyatatua. Tunawaahidi watanzania wote kuwa na wana CCM kura za maoni zimeisha tunakwenda kwenye uteuzi wa wagombea  na wote tuwaombe twendeni tuwe kitu kimoja,” amesema.

You Might Also Like

Wananchi Kunufaika Na Huduma Za Kijamii Mradi Wa LNG Mkoani Lindi

Wananchi Kutembea Mwendo Mrefu Kutokana Na Upungufu Wa Majengo

Dkt. Mpango: Tumuige Nyerere kwa Kulinda Amani, Uhuru na Maadili ya Taifa

Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya SGR

Profesa Mkenda Aitaka TAEC Kusomesha Watumishi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Makala: Hakuna Kupita Bila Kupingwa
Next Article ATCL Yaanzisha Safari Za Moja Kwa Moja, Dubai Na Zanzibar
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yaweka Mkazo Kufufua Viwanda Musoma Ili Kuongeza Ajira
Habari April 24, 2026
Program Ya Mama Samia Ya Kurasimisha Ujuzi Yazinduliwa
Habari April 23, 2026
TEA, Wizara ya Elimu Zanzibar Kushirikiana Kuimarisha Miradi ya Elimu
Habari April 23, 2026
Bajeti Yadhihirisha Uhakika Wa Nishati Nchini
Habari April 23, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?