MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Sababu Nne Zilizofanikisha Mafanikio Katika Uandikishaji
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Sababu Nne Zilizofanikisha Mafanikio Katika Uandikishaji
Habari

Sababu Nne Zilizofanikisha Mafanikio Katika Uandikishaji

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
  Na Mwandishi Wetu Kasulu
KIGOMA:  MAELEKEZO ya Rais Samia Suluhu Hassan yanayotaka utumikaji wa 4R katika shughuli zote  za kitaifa zinazoakisi maridhiano, mabadiliko, ustahimilivu na kujenga upya yamewezesha kufanikiwa kwa uandikishwaji katika Daftrari laMpiga Kura Kasulu.
Msimamizi wa Uchaguzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu, Kigoma Dkt, Semistatus Mashimba amesema hayo alipozungumza na Waandishi wa Habari.
Amesema kupitia misingi hiyo katika mchakato  huo mzima wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa pamoja na uandikishaji katika wilaya hiyo wameshirikiana  na viongozi wote wa chama na serikali,vyama vyote vya siasa, makundi ya wazee maarufu, vijana na vikundi vya sanaa ili kuhakikisha unafanikiwa.
Ametaja jambo lingine ni kuzingatia miongozo waliyopewa na viongozi mbalimbali kuanzia ngazi ya mkoa,wilaya pamoja na halmashauri,
Vilevile miongozo na kanuni iliyoratibiwa   vizuri na  Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI
iliyosaidua vifaa na fedha kufika kwa wakati hali iliyosababisha mchakato kutokuwa na dosari.
Pia amevishukuru Vyombo vya Habari wilayani hapo
 kwa hamasa kubwa waliyoitoa iliyochangia wananchi kwenda kujiandiskisha,

You Might Also Like

Maboresho Mfumo wa Sheria Zinazosimamia Uwekezaji Kuchochea Uwekezaji Nchini

Trilioni 1.3  Zatumika Kuboresha Afya Ya Msingi Nchini

Majaliwa  awataka waandamizi, vyombo vya usalama kutekeleza 4R

Profesa Nombo Azindua Miongozo Ya Usimamizi Ya Utafiti, Ubunifu COSTECH

Kituo Cha Mkutano Cha Kimataifa Mlima Kilimanjaro Kuileta Dunia Tanzania

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kongamano  La Kimataifa La Jotoardhi Laanza Kwa Mafanikio
Next Article Tume Ya Kurekebisha Sheria Tanzania Kuipitia Sheria Ya Takwimu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Viongozi Watakiwa Kuweka Haki Mbele Katika Kusimamia Masuala ya Wafanyakazi — COWTU (T)
Habari November 25, 2025
Huduma za Maktaba Zabadilika: Malipo Kidijitali, Usomaji Mtandaoni
Habari November 25, 2025
Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?