MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kameta awaasa watanzania kutonunuliwa  kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mtaa, Mkuu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kameta awaasa watanzania kutonunuliwa  kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mtaa, Mkuu
Habari

Kameta awaasa watanzania kutonunuliwa  kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mtaa, Mkuu

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
ASKOFU wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Jimbo la Mashariki Kati Kusini, Dkt. Lawrence  Kametta, amewataka watanzania kukataa kununuliwa katika kipindi cha uchaguzi wa serikali za mtaa na uchaguzi mkuu 2025.
Amesema katika uchaguzi wa Serikali ya mitaa na Uchaguzi Mkuu 2025, watanzania wawe makini katika kuchagua viongozi waadilifu na watenda haki pia
Wito huo ameuroa  jijini Dar es Salaam alipoalikwa kuwa mgeni rasmi kwenye mahafali ya 13 ya Moto wa Uamsho ya Chuo cha Kupanda Makanisa (CCKM),ambapo alisema ni jukumu la viongozi wa Dini ,wananchi kuombea taifa liwe na amani hasa katika kipindi cha uchaguzi.
Ameesema ili kila mtanzania aweze apige kura
na kumchagua kiongozi anayefaa ni vyema kujitokeza kwa wingi na kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura ili wapate haki hiyo.
Aliwataka watanzania kua makini wasikubali kununuliwa kila mmoja ashiriki na ashinde kwa haki.
“Tuombee uchaguzi tuombee amani,watu wajitokeze kwa wingi kuhakiki majina yao ili wapate nafasi kuchagua viongozi watakaofaa na kumcha Mungu pia na wenye kuwajibika ipasavyo katika nafasi hizo,”
“Pia tumuombee Rais Samia apewe hekima  na maarifa na pia kuwaombea wasaidizi na washauri wake wawe wanampa taarifa nzuri zilizochujwa ili kuwe na maamuzi sahihi pia,”amesema.
Amewataka waumini wa dini mbalimbali kutohofia kugombea kwani viongozi wakiwa wachaMungu pia taifa linakua lenye amani siku zote.
“Msiache watu wasio na hofu ya Mungu wakaongoza nchi. Tuombe amani na haki itendeke, wabunge wasimame kwa uadilifu, na mahakama isiingiliwe na wala rushwa,” aesema.
Katika hafla hiyo, wanafunzi 50 walihitimu mafunzo ya awali ya uinjilisti, ikionyesha jitihada za kuendeleza injili na utumishi wa kanisa.
Mwisho

You Might Also Like

Kimwaga Mwenyekiti Mpya DCPC, Ahimiza Nidhamu

TARURA yaokoa kiasi kikubwa cha fedha kwa kujenga madaraja ya mawe

 Rais Samia aipongeza REA

Mwanafunzi UDSM Aja Na Nyama Ya Mimea

Wanaosimamia Mitandao Ya Serikali Wadhibiti Usalama Wake

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Waziri wa Vijana akutana na Mwita wa Zanzibar
Next Article Watanzania Acheni Kuchanganya Mazao -Jafo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?