MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari Upo Kwa Ajili ya Watanzania – Kabonaki
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari Upo Kwa Ajili ya Watanzania – Kabonaki
Habari

Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari Upo Kwa Ajili ya Watanzania – Kabonaki

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

“WENGI wanapokosa kipato wanapata shida, ili kuwe na mwendelezo wa kipato mfuko upo kwa ajili ya kuchukua nafasi hiyo,”.
Mwendeshaji Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa Hiari(WRF), Muchunguzi Kabonaki amesema hayo wakati akizungumza na Mwandishi wa MFANYAKAZI.
Kabonaki amesema lengo la kuanzishwa kwa mfuko huo ni kuhakikisha watanzania wengi wanapata huduma ya hifadhi ya jamii.
Ameshauri watanzania kutumia fursa hiyo ya kujiwekea hifadhi kwa siku ambazo hawatakuwa na nguvu ya kuzalisha kipato.
Pia amesema kanuni ya mfuko huo ni kila mwanachama kuchangia angalau shilingi 10,000 kwa mwezi kupitia kwa mwajiri ama mwanachama mwenyewe kulipa mchango wake.
Kwa upande mwingine amesema mfuko huo upo kwenye mazungumzo na kampuni za simu ili wanachama walipe kupitia mitandao ya simu.
Vile vile amesema wanatarajia kuutanganza mfuko huo kuanzia Oktoba mwaka huu, kwa kuzungumza na waajiri, kuendesha semina na Maofisa Utumishi pamoja na kutumia vyombo vya habari.
Mfuko huo umeanzishwa mwaka jana kwa lengo la kutoa hifadhi ya jamii ya nyongeza kwa wanachama wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania ( TUCTA), na  Sekta Isiyo Rasmi.

You Might Also Like

Wakandarasi Miradi wa  TAZA Watakiwa Kukamilisha Kazi kwa Wakati 

Majaliwa ataka kuondolewe vikwazo vya rufaa za matibabu Afrika Mashariki

Kamati Ya Bunge  Yaridhishwa Na Ujenzi Wa Jengo La Kituo Cha Zimamoto, Mtumba

Tumeanza Kufanyia Kazi Maelekezo Ya Rais Samia – Bashungwa

Watanzania Wametakiwa Wasiwachague Wanaotumia Rushwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Jengo la Uwekezaji la Wafanyakazi Kufunguliwa Novemba 
Next Article Boti yazama abiria 14 kati ya 21 waokolewa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Ununuzi Wa Ndege Anga Za Kilimo Uanze Sasa-Bashe
Habari May 31, 2025
Wanafunzi Shule Ya Anlex, Walimu Wao Watinga Bungeni
Habari May 31, 2025
Ndege Ya TPHPA Yatua Rasmi Kudhibiti, Kwelea Kwelea, Viwavijeshi, Nzige 
Habari May 31, 2025
UDSM Yatafiti Ndege Nyuki ‘Drone’ Inayopunguza Uchafuzi Wa Hewa Ukaa
Habari May 29, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?