MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Naibu Waziri Katambi aagiza CMA kutoa mafunzo kwa njia ya mtandao
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Naibu Waziri Katambi aagiza CMA kutoa mafunzo kwa njia ya mtandao
Habari

Naibu Waziri Katambi aagiza CMA kutoa mafunzo kwa njia ya mtandao

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

TUME ya Usuluhishi na Uamuzi (CMA), imeagizwa kutoa mafunzo ya Mfumo wa Uendeshaji na Usimamizi wa Mashauri kwa Njia ya Mtandao kwa wafanyakazi, waajiri, mawakili, wawakilishi binafsi na jamii yote waelewe umuhimu na matumizi yake.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Protrobas Katambi ameagiza hayo wakati wa ufunguzi wa nafunzo ya mfumo huo kwa wadau wa tume hiyo.
Katambi amesema, mfumo huo ni mkakati wa serikali sio wa kurahisisha huduma kwa wananchi pekee, bali kusogeza huduma za utatuzi wa migogoro karibu na wananchi.
“Mara kadhaa serikali kupitia wizara yetu imepambania sana bungeni kuhakikisha mradi huu unakamilika.
“Na Kamati ya Bunge, Ustawi na Maendeleo ya Jamii inasubiri kwa hamu kuona mfumo huu unaanza kazi maana imekuwa ikituhoji na kutufuatilia kwa karibu,” amesema.
Maelezo yake ni kwamba, baada ya mafunzo ya wadau, tume hiyo itapanga siku ya kuipitisha kamati hiyo kwenye mfumo kabla ya kuanza matumizi ili wabunge wapate uelewa wa namna mfumo utakavyofanya kazi na kuleta tija kwa wananchi hususani wadau wa haki-kazi.
Awali Mkurugenzi wa CMA, Usekelege Mpulla amesema, mafunzo hayo ni utekelezaji wa maagizo na mkakati wa serikali na maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan akisisitiza kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi.
Pia Rais Samia amesisitiza kutumia mifumo inayosomana, vike vile upatikanaji wa huduma ama migogoro ya kazi kwa haraka.

You Might Also Like

TPDC  Yaibuka Mshindi Sabasaba Yapata Tuzo Ya Tano

Samia: Sera Iliyozinduliwa, Somo La Ujasiriamali Ni Lazima

Trump Ashinda Uchaguzi Marekani

Waziri Nanauka Aipongeza   TARURA Kwa Mpango Wa  CBRM ‎

Serikali Yatumia Teknolojia Kuwaunganisha Vijana Na Fursa Za Kiuchumi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia afungua kikao kazi cha watendaji serikalini
Next Article Ajali ya treni Kigoma , abiria 70 wajeruhiwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mradi Wa Umeme Mpomvu-GGM Kuimarisha Upatikanaji Wa Umeme Na Kuchochea Shughuli Za Kiuchumi Geita- Salome
Habari September 4, 2026
Wahitimu 794 Wa Vyuo Vya Elimu Ya Juu Waomba Kujiunga VETA
Habari September 4, 2026
Taka za saluni zageuka dhahabu ya kijani: COSTECH yamulika safari ya David kutoka wazo hadi hataza
Makala September 4, 2026
Umeme Kubadilisha Maisha Ya Wakazi Wa Kisiwa Cha Jibondo Mafia
Habari September 3, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?