MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: GIZ, IUCEA waratibu uchambuzi wa data kidijitali kwa wahitimu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > GIZ, IUCEA waratibu uchambuzi wa data kidijitali kwa wahitimu
Habari

GIZ, IUCEA waratibu uchambuzi wa data kidijitali kwa wahitimu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
SHIRIKA la Maendeleo la Ujerumani (GIZ), kwa kushirikiana na Baraza la Vyuo Vikuu la Afrika Mashariki (IUCEA) linaratibu programu ya mafunzo ya uchambuzi wa data kidijitali kwa vijana na wanafunzi mbalimbali waliomaliza vyuo.
Lengo likiwa ni kuwezesha kupata ujuzi wa kidijitali utakaosaidia kuwa wabobevu  katika soko la ajira katika maeneo mbalimbali.
Mkuu wa program hiyo kutoka GIZ, David Roos amesema hayo katika Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam ( DIT), katika hafla ya kukabidhi vyeti kwa wanafunzi wa vyuo vikuu walionufaika na mafunzo hayo.
Maelezo yake ni kwamba, program hiyo ya mafunzo ni maalum inayowawezesha wahitimu wa vyuo vikuu wasio na ajira na mahitaji ya lazima kupata ujuzi wa uchambuzi wa data, taswira, na ustadi wa kutengeneza simulizi ili kuongeza uwezo  wa kuajiriwa .
Amesema katika mafunzo hayo ya  siku 10, wahitimu wamepata elimu ya  muhimu ya data na ujuzi wa uchambuzi wa data, kuongezeka kwa uwezo wa kuajiriwa, na fursa za kazi kwa washiriki kote katika Jumuiya ya Afrika Mashariki( EAC)
Amesema washiriki walichaguliwa kutoka kundi la wahitimu wa vyuo vikuu wasio na ajira kutoka katika nchi za  Burundi, DRJamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo,
Kenya, Rwanda, Sudan Kusini, Tanzania, na Uganda.
.
“Kupitia mfululizo huu wa mafunzo, lengo letu ni kuimarisha uwezo wa kuajiriwa na hata kuwezesha vijana kukubalika katika soko la ajira,” amesema Roos na kuongeza kuwa tayari vijana 84 wamepatiwa mafunzo hayo katika nchi wanachama wa EAC.
Mshiriki wa mafunzo hayo Michael Chongeni ambaye ni mhitimu wa uhandisi kwenye Mafuta na gesi kutoka Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM) amesema mafunzo hayo yanawezesha kuwa wachambuzi wazuri wa data na ambayo yanaongeza ujuzi.

You Might Also Like

Miradi Ya Kusambaza Umeme Vitongojini Kukamilika Ifikapo 2030

Mamlaka Ya Elimu Tanzania Yaimarisha Ushirikiano Na Wadau Wa Maendeleo Ya Elimu

TPHPA Yapata Tuzo ya WCO kwa Ulinzi wa Afya na Usalama wa Taifa

Rais Samia Awakumbuka Wazazi Wanaojifungua Watoto Njiti

Ushirikiano Wanataalum, Wanatasnia Kisekta Ni Muhimu Katika Maendeleo Kiuchumi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article RAAWU na mafanikio iliyopata utawala wa Rais Samia
Next Article Watanzania lindeni Viwanda vya Ndani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vita Mashariki ya Kati Vyatikisa Uchumi wa SADC, Mawaziri Watakiwa Kuchukua Hatua
Habari March 12, 2026
Mamlaka Za Mitaa Ondoeni Urasimu Katika Kuanzisha Biashara Mpya-Waziri Mkuu
Habari March 12, 2026
Ofisi Ya Taifa Ya Takwimu  Kufanya Tafiti Kwa Wakala Wa Huduma Za Fedha,Viwandani
Habari March 12, 2026
GCLA  Yanunua Mitambo Mikubwa Inayogharimu Sh Bil 32.25 Kuimarisha Uchunguzi Wa Sampuli
Habari March 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?