MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Chalamila afanya ukaguzi mwenendo wa utoaji huduma Kivuko cha Feri
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Chalamila afanya ukaguzi mwenendo wa utoaji huduma Kivuko cha Feri
Habari

Chalamila afanya ukaguzi mwenendo wa utoaji huduma Kivuko cha Feri

Penina Malundo
By Penina Malundo
Share
1 Min Read

Na Mwandishi wetu.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo Agosti 15, 2024 ametembelea na kufanya ukaguzi wa mwenendo wa utoaji huduma katika kivuko cha Feri – Kigamboni Jijini Dar es Salaam.

RC Chalamila wakati akikagua mwenendo wa utendaji kazi na mazingira ya kivuko hicho ameitaka TAMESA kufanya maboresho makubwa ya mazingira ya utoaji huduma ambayo yatakuwa rafiki kwa watu wote wanaotumia huduma hiyo ya kivuko.

Aidha RC Chalamila amesema ni vizuri kufungua milango kwa sekta binafsi kuwekeza katika kivuko hicho ili kuwe na huduma bora ambazo zitavutia wananchi mfano mzuri kwa sasa Kivuko binafsi kimekuwa kimbilio la watu kuliko kivuko cha Serikali tafsiri yake ni kuwa sekta binafsi inaweza kufanya vizuri zaidi.

” Rais hawezi kuwaamulia kila kitu ukipewa dhamana umeaminiwa , hivyo kuwa mbunifu”,amesema Chalamila.

You Might Also Like

Ridhiwani  Azindua Hafla ya Kuupandisha Mwenge, Mlima Kilimanjaro

BRT Kuimarisha Uhusiano Tanzania, China

Magonjwa ya misuli yaongezeka mahala pa kazi-OSHA

Tunaunga mkono jitihada za Rais Samia katika Utalii

Rais Samia akunwa na Tarura

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27
Next Article Serikali kushirikiana na Wadau usimamizi Taka za Plastiki
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
Balozi wa Tanzania Nchini Italy Afurahishwa  Ubunifu wa TPHPA Maonesho ya Nanenane
Habari August 7, 2025
Wadau Wakaribishwa Kuwekeza Katika Uchakataji, Biashara ya Mkonge Nchini
Habari August 7, 2025
Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?