MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Zifahamu hifadhi za bahari na maeneo tengefu.
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Zifahamu hifadhi za bahari na maeneo tengefu.
Habari

Zifahamu hifadhi za bahari na maeneo tengefu.

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DODOMA: “HADI sasa tunasimamia hifadhi tatu na maeneo Tengefu 15. Tufanye jumla ya hifadhi kufika 18, ambazo zimegawanyika katika mikoa minne, Tanzania Bara,”.

Ofisa Masoko wa Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu Tanzania, Halima Tosiri amesema hayo katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yaliyomalizika jana katika Viwanja vya Nzuguni, Dodoma.

Halima ametaja mikoa ambayo hifadhi hizo zinapatikana kuwa ni Hifadhi ya Kisiwa cha Mafia, Hifadhi za Bahari Dar es Salaam, Hifadhi za Bahari Nazbay Mtwara na Hifadhi za Bahari Tanga.

Amesema mwaka huu 2024, wameweza kuhudhuria maonesho hayo yajulikanayo kama nane nane kwa lengo la kutoa elimu kwa jamii, kuhusiana na masuala ya uhifadhi wa rasilimali za bahari.

Kuwajulisha wananchi, ” Ni kwa nini tunahifadhi, na ni nini tunahifadhi, na umuhimu wa kuhifadhi lakini pia kuwaambia jamii kwa kuwa ni moja kati ya sehemu ya wahifadhi.

You Might Also Like

Wakumbushwa Kufuata Utaratibu Wa Kuboresha, kurekebisha sheria 

Uwepo mwongozo kupima wagonjwa zaidi

Tanzania Yapiga Hatua Kwenye Elimu ya Kidijitali Kupitia Ushirikiano na China

Timu Ya Watanzania Ikiongozwa Na Profesa Ndunguru, Yakutana Na Balozi Zambia

BUWSSA Yapewa Bilioni 28 Kutatua Tatizo La Maji

TAGGED:BahariHifadhiMaendeleoTangaTanzania
Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Homa ya nyani mjadala wa dharura kwa mawaziri wa afya Afrika
Next Article Hifadhi za Bahari na Maeneo Tengefu yaita wawekezaji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mgodi Wa Dhahabu Wa Nyanzaga Kunufaisha Wananchi, Ujenzi Wazidi Kupaa
Habari September 23, 2025
Sekta Ya Madini Yazidi Kuchangia Ukuaji Wa Uchumi – Majaliwa
Habari September 23, 2025
Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?