MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TMA yawafikia taasisi za utafiti wa kilimo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TMA yawafikia taasisi za utafiti wa kilimo
Habari

TMA yawafikia taasisi za utafiti wa kilimo

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA:MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imeweka vituo vya hali ya hewa kwenye Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI),  pamoja na Taasisi ya Utafiti wa Kahawa Tanzania (REA).
Meneja Huduma za Hali ya Hewa Kilimo TMA,  Isack Yonah amesema hayo wakati wa maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayofikia kilele leo jijini Dodoma.
Amesema kazi ya vituo hivyo ni kutoa taarifa za hali ya hewa kwa ajili ya utafiti wa mazao yanayoweza kuendana na kilimo cha sasa na mabadiliko ya hali ya hewa.
Amesema katika kuboresha huduma zao  wameweka vituo vinavyojiendesha vyenyewe na kuachana na teknolojia ile ya zamani ambayo mtu anakwenda anaangalia na kutoa utafiti ambao pengine  anaweza kukosea kusoma, au  wakapita  wanyama wakaharibu.
Amesema vituo hivyo walivyoweka vinajiendesha vyenyewe, inachukua takwimu na kuziongoza kwenye mifumo ya utabiri na kupata utabiri  ambao ni bora zaidi, hivyo kusaidia kilimo na wakulima kwa ujumla.
“Kwa hiyo Mamlaka na Serikali kwa ujumla inawekeza sana kwa vifaa na mitambo ili kuhakikisha kwamba utabiri  unatolewa ni wa uhakika .”amesema.
Amesema katika maonesho hayo wanaelimisha  wananchi kwa huduma wanazozitoa kwa sekta ya Kilimo na sehemu nyingine za uchumi.
“Kwa hiyo tumekuja hapa ili kujibu baadhi ya maswali yanayoulizwa na wananchi lakini pia watupe mahitaji yao ili kilimo chao kiweze kuwa bora kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa ambayo huathiri mazao ya wakulima,

You Might Also Like

Wakumbushwa Kufuata Utaratibu Wa Kuboresha, kurekebisha sheria 

Mgahawa unaotembea fursa kwa vijana, kutoa huduma ya unywaji wa kahawa

Watumishi Wanawake Wa TEA wajitoa Kwa Jamii

BRELA Yazindua Baraza La Wafanyakazi

Kongamano la Kahawa Bora Afrika kufanyika Tanzania Februari mwakani

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article CATC yawaita wakulima kusomea urushaji wa ndege nyuki
Next Article Siri ya ushindi JKT hii hapa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Teknolojia Mpya Ya Uchomeleaji Yaleta Mapinduzi VETA Dodoma
Habari July 12, 2025
Tume Yapongeza OCPD kwa Mabadiliko ya Sheria
Habari July 12, 2025
Johari Ataka Ufasili wa Sheria za Uchaguzi Ukamilike
Habari July 12, 2025
OCPD Nguzo Kuu ya Utungaji Sheria – Dkt. Ndumbaro
Habari July 12, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?