MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: NHIF: Ruksa wanachama kutumia NIDA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > NHIF: Ruksa wanachama kutumia NIDA
Habari

NHIF: Ruksa wanachama kutumia NIDA

Author
By Author
Share
1 Min Read
 Lucy Ngowi
DODOMA: WANACHAMA wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ( NHIF),, hivi sasa wanaweza kupata huduma za matibabu kwa kutumia namba ya Kitambulisho cha Uraia (NIDA).
Kaimu Meneja kutoka Kitengo cha Mawasiliano NHIF, Grace Michael amesema hayo katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea Jijini Dodoma.
Amesema mfuko huo umeendelea kurahisisha huduma zake hususan ya utambuzi wa mwanachama anapokuwa katika vituo vya kutolea huduma kwa kutumia namba hiyo ya NIDA.
“Kwa sasa mwanachama wa NHIF anaweza akatambuliwa kituoni kwa kutumia namba ya NIDA. Hii itaondoa changamoto kwa wale waliokuwa wanasahau vitambulisho nyumbani.
” Mwanachama hatalazimika kutembea na kadi hata wale wanaopoteza hizo kadi nao wanaenda kuondoa usumbufu.
“Wanachama watumie fursa hii kuhuhisha taarifa zao za NIDA. Walioko hapa watenbelee banda letu,” amesema.
Ametoa wito kwa wananchi kutumia fursa ya kujiunga na mfuko huo kwa sababu ugonjwa unampata mtu bila taarifa.

You Might Also Like

Tumeanza Kufanyia Kazi Maelekezo Ya Rais Samia – Bashungwa

Wananchi Kutembea Mwendo Mrefu Kutokana Na Upungufu Wa Majengo

Sababu Nne Zilizofanikisha Mafanikio Katika Uandikishaji

Apongeza watumishi kwa kutoa huduma bora kwa walimu

BRAC Tanzania: Upo Umuhimu Sekta Binafsi, Serikali Kushirikiana

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mgahawa unaotembea fursa kwa vijana, kutoa huduma ya unywaji wa kahawa
Next Article Rais Samia azindua bwawa la umwagiliaji Mtibwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?