MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Miradi ya maedeleo na Huduma za afya isimamiwe kwa ukaribu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Miradi ya maedeleo na Huduma za afya isimamiwe kwa ukaribu
Habari

Miradi ya maedeleo na Huduma za afya isimamiwe kwa ukaribu

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
KIGOMA :NAIBU  Katibu Mkuu anayeshughulikia Afya Ofisi ya Rais TAMISEMI Dkt. Charles Mahera amewaelekeza wakurugenzi na watendaji katika Halmashauri kusimamia miradi ya maendeleo kwa ukaribu ikiwemo miradi ya Afya ili kuongeza ufanisi na ubora katika miradi hiyo na kukamilika kwa wakati.
Hayo yamesemwa kwa niaba yake na Mkurugenzi msaidizi wa Huduma za Ustawi wa jamii Subisya Kabuje katika Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma wakati akiongea na timu ya usimamizi wa Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe wakati akihitimisha ziara ya siku mbili iliyofanyika Mkoani humo.
Amesema kumekuwa na huduma mbalimbali ambazo zinatolewa katika Halmashauri miongoni mwa hizo ikiwa ni huduma feet family kwa Watoto waliopoteza familia zao ambapo Maafisa Ustawi wa Jamii wanajukumu la kufatilia familia hizo na kujua changamoto zinazowakabili na kuzitatua.
Kwa upande wa miradi ya ujenzi amewataka wataalamu husika wa kushirikiana kwa ukaribu na wahandisi wa Mradi kwani wao ndio wanaelewa zaidi ni vitu gani vinahitajika katika Miradi hiyo.
“lakini pia hata kwenye miradi ambayo inahusika na maswala ya ujenzi wa vituo vya afya Mganga Mkuu wa Halmashauri hakikisha unafatilia kwa ukaribu ujenzi na sio kumuachia Mhandisi peke yake ili kuhakikisha majengo hayo yanakizi mahitaji maalumu yanayotakiwa.”
Pia amewaelekeza watoa huduma katika vituo vya Afya na Zahanati kuwa na lugha nzuri kwa wagonjwa pindi wanapokuja kupata huduma mbalimbali katika vituo hivyo kwani itasaidia kuwavutia zaidi wananchi na kuongeza mapato katika vituo vya Afya vya Serikali.

You Might Also Like

Wizara Ya Madini Kununua Chopa, Kufanya Utafiti

Samia Kukagua Barabara Ya Mzunguko, Uwanja Wa Ndege Msalato Kesho

Uzalishaji wa chuma kuanza nchini 

REA Yatoa Milioni 38.2 kwa ajili ya kufungwa mfumo wa nishati safi, Shule ya Samia

TARURA yaokoa kiasi kikubwa cha fedha kwa kujenga madaraja ya mawe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article UTT AMIS Yazindua kampeni ya ‘Kijiwe Mchongo
Next Article Zitumieni fursa za misitu na nyuki-Tafori
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?