MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Vijana Watakiwa Kuanza Utekelezaji Wa Mipango Waliyonayo
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Vijana Watakiwa Kuanza Utekelezaji Wa Mipango Waliyonayo
Habari

Vijana Watakiwa Kuanza Utekelezaji Wa Mipango Waliyonayo

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu,Dodoma
KATIKA Kuadhimisha  siku ya vijana duniani,vijana wametakiwa kutambua kuwa fursa zipo lakini waangalie zile zilizoko ndani ya uwezo wao  wakianzia pale walipo.
Ofisa  mradi  wa Tuinuke Pamoja unaotekelezwa na Aghakan Foundation na kufadhiliwa na  serikali ya Ireland,Eric Kisiga amesema hayo wakati akizungumza katika kilele cha maadhimisho hayo ambayo kitaifa yamefanyika jijini Dodoma.
Amesema kupitia mradi huo unatekelezwa katika mkoa wa Dodoma kwenye wilaya sita za Kondoa,Chamwino, Chemba,Bahi, ukilenga kuleta usawa wa kijinsia kuweza kufikia makundi mbalimbali ya vijana na wenye ulemavu ambao kwa kipindi kirefu wamekuwa wakiachwa na fursa.
Habari Picha 13233
” Leo siku ya vijana tumeshirikisha vijana katika mradi wa Tuinuke Pamoja na vijana 25 wameshikiriki hata katika mijadala mnalimbali,” amesema na kuongeza kuwa pia wameleta bidhaa wanazozalisha kama kikundi na kuelezea shughuli zao wanazofanya.
Amesema kupitia kauli mbiu ya maonesho kuwa Mazingira Tofauti Fursa Sawa kwa wote inahimiza ushirikishwaji wa vijana katika maeneo mbalimbali bila kujali tofauti zao na za maeneo waliyopo,elimu waliyonayo bali wanapaswa  haki sawa kwenye nyanja mnalimbali zikiwemo za uchumi.
“Mchango wao na.mawazo waliyoyatoa leo katika maadhimisho ya siku ya vijana yamekabidhiwankwa Waziri wa Maendelei ya Vijana, Joel Nanauka ambayo yatasaidia kutengeneza sera jumuishi ya vijana,”amesema.
Kuhusu vijana amewataka kuanzia walipo na kuhakikisha wanatekeleza mipango yao kwa vitendo kama wanavyoipanga kwa kuwa wengi hushindwa.
Amesema katika maadhimisho haho vijana wameweza kutengeneza mitandaonya mawasiliano,wakibadilishana ujuzi na kuelezana uzoefu kulingana na maeneo waliyopo.
Habari Picha 13234
Habari Picha 13236
Habari Picha 13237

You Might Also Like

Katambi Ahimiza Udhibiti wa Bidhaa Duni, Jamii Yatakiwa Kutumia Huduma za TBS

TANESCO Kutambulisha Mfumo Wa Kufunga Nyaya Kwenye Nyumba Ukifuatilia Matumizi Ya Umeme

CWT Yaiomba Serikali Kurekebisha Sheria za Vyama vya Wafanyakazi

Rais Samia aipongeza TPHPA, kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi, Watendaji

Hananja Awataka Vijana Kufikiri Mara Mbili Kabla ya Kufuata Wito wa Maandamano

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TARI Yafanya Majaribio Ya Viazi Mviringo Dodona
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TARI Yafanya Majaribio Ya Viazi Mviringo Dodona
Habari August 11, 2026
Shilingi Milioni 28 Zilivyogeuza Wazo Kuwa Mashine Ya Shambani
Makala August 11, 2026
Bima Ya Afya Kwa Wote: Safari Ya Kumfikia Kila Mwananchi
Makala August 11, 2026
Mabilika Kutoka Ubunifu Hadi Soko La Afrika
Makala August 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?