MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mandingo: Jiungeni Mkunga Marathon Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mandingo: Jiungeni Mkunga Marathon Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto
Habari

Mandingo: Jiungeni Mkunga Marathon Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto

Author
By Author
Share
2 Min Read

 

Na Lucy Lyatuu
MBIO za Mkunga Marathon zinatarajiwa kufanyika Mei 2 mkoani Kilimanjaro zikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Mkunga Duniani, huku zikilenga kukusanya fedha kwa ajili ya kuboresha huduma za uzazi nchini.

Akizungumzia tukio hilo, Cedou Mandingo maarufu kama ‘Babu wa Kitaa’ ameishukuru Chama cha Wakunga Tanzania (TAMA) kwa kumteua kuwa balozi, akiahidi kuunganisha jamii na wakunga pamoja na kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa taaluma hiyo.

 

Habari Picha 11840

“Nitahakikisha naunganisha Chama cha Wakunga na jamii, lakini pia kupeleka elimu ili watu waelewe mkunga ni nani na ana nafasi gani katika kuokoa maisha ya mama na mtoto,” amesema Mandingo.

Ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kushiriki mbio hizo kwa kujisajili mapema, akisisitiza kuwa ushiriki wao utasaidia kufanikisha lengo la kuokoa maisha ya mama na mtoto.

Habari Picha 11841

Kwa mujibu wa Rais wa TAMA, Beatrice Mwilike, mbio hizo zinatarajiwa kushirikisha zaidi ya watu 2,000, zikiwa na vipengele vya kilomita 5, 10 na 21.

Amesema fedha zitakazokusanywa zitatumika kununua vifaa tiba muhimu kwa ajili ya kuboresha huduma za uzazi, huku akitoa wito kwa wadau mbalimbali kujitokeza kushiriki kwa ada ya shilingi 35,000.

 

Maadhimisho hayo yanatarajiwa kuwa jukwaa muhimu la kuhamasisha jamii kuhusu nafasi ya wakunga katika kuhakikisha uzazi salama na kupunguza vifo vya mama na mtoto.

You Might Also Like

Jamii Yatakiwa Kuzungumza Pamoja Kuhusu Maji, Masuala ya Jinsia

Johari Ataka Ufasili wa Sheria za Uchaguzi Ukamilike

Rais Mpya CWT Ikomba: ‘Nataka Kuwaunganisha Walimu, Kuitendea Haki Kazi Yetu’

Serikali Yaahidi Kupatia Dawa Kilio Cha Ushuru Kwa Malori

Upotevu Wa Maji Kipimo Cha Utendaji Wa Wakurugenzi Wa Mamlaka Za Maji

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article ‘Upungufu wa Wakunga Afrika Watishia Maisha ya Mama na Mtoto ‘TAMA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

‘Upungufu wa Wakunga Afrika Watishia Maisha ya Mama na Mtoto ‘TAMA
Habari April 21, 2026
Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini
Habari April 17, 2026
Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA Njombe
Habari April 17, 2026
Ufaulu  Wa   Somo La Hisabati  Shida Ya Taifa- Wanu
Habari April 16, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?