MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Jamii Yatakiwa Kuzungumza Pamoja Kuhusu Maji, Masuala ya Jinsia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Jamii Yatakiwa Kuzungumza Pamoja Kuhusu Maji, Masuala ya Jinsia
Habari

Jamii Yatakiwa Kuzungumza Pamoja Kuhusu Maji, Masuala ya Jinsia

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi wetu
MOROGORO: JAMII imehamasishwa kushirikiana kushughulikia masuala ya maji na jinsia ili kufungua mlango wa uwezeshaji, usawa, na maendeleo endelevu katika upangaji na utekelezaji wa miradi na sera za Sekta ya Maji.
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki, ametoa wito huo mjini Morogoro wakati wa ufunguzi wa Mdahalo wa Wadau kuhusu Maji na Jinsia, ulioandaliwa na Wizara ya Maji kama sehemu ya maadhimisho ya Wiki ya Maji.
“Bila maji safi na salama, jamii haiwezi kustawi, uchumi hauwezi kukua, na mazingira hayawezi kuendelezwa. Hivyo kila mmoja ana jukumu la kuwa tayari kushirikiana,” amesema Waziri Kairuki.
Habari Picha 11511
Waziri huyo pia amesisitiza kuwa Serikali imeweka maji kuwa moja ya vipaumbele muhimu katika jitihada za kuboresha maisha ya wananchi kwa kuweka mikakati na kuimarisha uwekezaji katika sekta hiyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Mwajuma Waziri, amesema Wizara imejipanga kuhakikisha inatoa majibu ya changamoto zinazowakumba wananchi wa jinsia zote katika upatikanaji wa majisafi na salama.
“Hali hii bado inaathiri makundi mbalimbali, hususan wanawake na wasichana ambao hubeba jukumu kubwa la kutafuta na kusimamia matumizi ya maji katika familia,” amesema.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, Jackson Kiswaga, amesema kamati yake ipo tayari kupokea na kuyafanyia kazi mapendekezo ya wadau.
“Kazi kubwa ya Bunge ni kutunga Sheria, kuisimamia Serikali, na kuwawakilisha wananchi. Tunategemea kupitia mdahalo huu kupata mapendekezo ya kuzingatia masuala ya kijinsia ipasavyo,” amesema.
Wiki ya Maji, inayoadhimishwa na Wizara ya Maji kuanzia leo Machi 16 hadi 22, mwaka huu 2026, inalenga kuongeza ufahamu juu ya umuhimu wa maji na kuhimiza ushirikiano wa kijamii katika usimamizi wa rasilimali hiyo muhimu.

You Might Also Like

Sheria  300 Zimetafsiriwa Kwa Lugha Ya Kiswahili

Tanzania Kwa Mara Nyingine Mwenyeji Kongamano La eLearning Afrika

Serikali Yahamasisha  Kuongeza Fursa Za Mafunzo Kwa Vijana

Watanzania Watakiwa Kufanya Kazi Kwa Bidii

Majaliwa Aagiza Sera Ya Elimu Kusimamiwa Kikamilifu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tume Ya Madini Yaweka Vipaumbele Kuwezesha Vijana Kushiriki Katika Uchimbaji Madini 
Next Article Sh. Bilioni 883.93 Zatumika Kutekeleza Miradi ya Maji, Usafi wa Mazingira
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Hananja Awataka Vijana Kufikiri Mara Mbili Kabla ya Kufuata Wito wa Maandamano
Habari June 18, 2026
June 18, 2026
Habari June 18, 2026
Magereza Yaomba Jamii Kuwapokea Wafungwa Wanaorejea Kutumikia Taifa
Habari June 18, 2026
TPHPA Yasisitiza Matumizi Sahihi ya Viuatilifu kwa Wakulima
Habari June 18, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?