MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Viongozi Wa Dini Zote Wajifungie Kuomba,Kujadili Na Kutoa Mapendekezo-SAU
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Viongozi Wa Dini Zote Wajifungie Kuomba,Kujadili Na Kutoa Mapendekezo-SAU
Habari

Viongozi Wa Dini Zote Wajifungie Kuomba,Kujadili Na Kutoa Mapendekezo-SAU

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

CHAMA Cha Sauti Ya Umma (SAU)  kimeshauri kuwepo kwa jukwaa litakaloshirikisha   viongozi wa din izote nchini wakijifungia ndani na kufanya  maombi kisha  kujadili  kwa haraka kuhusu hali iliyopo na kutoa mapendekezo  yao kwa wananchi.

Katibu Mkuu wa SAU, Majalio Kyara ambaye  alikuwa  mgombea Urais kupitia chama hicho, amesema hayo Dar es Salaam wakati akitoa tathmini ya uchaguzi  mkuu  uliofanyika Oktoba 29 pamoja na vurugu zilizotokea.

Amesema hiki kipindi sio cha kuongea sana  bali ni wakati wa  kujifungia kutafakari, na ili kujua kipi kifanyike na kwa nini Taifa limefika lilipo lengo likiwa ni kutatua changamoto.

“Wote tunawakubali viongozi wa dini ni rahisi wao wakieleza jambo kueleweka, hivyo wakikaa wakijadili na kujua wapi kuna makosa  itasaidia waliokosa kuomba radhi  na kusamehewa,” amesema na kuongeza kuwa na hata vitabu vya dini vinaeleza ubaya usilipwe kwa ubaya  bali wakiomba radhi wasamehewe.

Amesema ni vyema viongozi hao wakijadiliana kwa haraka sana kabla ya Novemba 25, 2025  ili isifikie huko wanakoeleza 9 Desemba.

“Na hii ningependa tuwatumie zaidi viongozi wa dini, tunaamini hivyo kila mtanzania asilimia 99 ni muislamu au mkristo ambapo viongozi hao wametubeba sisi kwa asilimia kubwa, tukitumia vyama kuna wengine hawana vyama hivyo, tutafute jukwaa la viongozi wetu wa dini zote wote wajifungie ndani, waelezwe na wananchi ambao nao wameshakutana nao wakijua nini kilichotokea na vyombo vya ulinzi vinaweza kuwaeleza  yaliyotokea,” amesema.

 

Amesema hekima na busara za viongozi hao kwa kuwa watakuwa ndani wanaelezwa  watapata picha kama kuna watanzania walitaka kuwa       wasaliti  wataelezwa na kwa pamoja wote watatoka  kwa wananchi kwa msimamo mmoja.

Kyara amesema ni lazima kumtanguliza Mungu mbele akionesha njia, ya namna ya kutoka mahali Taifa lilikofikia  kwa maana hata Rais Samia Suluhu Hassan  alisema fujo zilizotokea zimetia doa.

 

 

 

 

 

 

 

 

You Might Also Like

Watanzania wasisitizwa kulinda mazingira ya miundombinu ya umeme

Midea Group Yafungua Duka Mlimani City Dar Es Salaam

TASAC yahadharisha wavuvi, wasafirishaji majini kuhusu upepo mkali

OCMS Kuleta Usawa na Haki Kwa Wafanyakazi

Asisitiza Umuhimu Wa Kukamilisha Miradi Kwa Mujibu Kuzingatia Mikataba

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ndejembi Akabidhiwa Ofisi Na Dkt. Biteko Aliyekuwa Naibu Waziri Mkuu Na Waziri Wa Nishati
Next Article Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
Nyamhokya Atoa Wito kwa Wanawake Kusimama Imara Kiuchumi
Habari March 7, 2026
Balozi Seokolo Atoa Wito Kuimarisha Biashara na Viwanda Kanda ya SADC
Habari March 7, 2026
Mkunda: Wanawake Wapewe Nafasi Katika Uongozi wa Vyama vya Wafanyakazi
Habari March 7, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?