MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: WCF Yapigia Debe Ushirikiano na Teknolojia Kuimarisha Hifadhi ya Jamii
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > WCF Yapigia Debe Ushirikiano na Teknolojia Kuimarisha Hifadhi ya Jamii
Habari

WCF Yapigia Debe Ushirikiano na Teknolojia Kuimarisha Hifadhi ya Jamii

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MFUKO wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umeshiriki katika mjadala wa kitaaluma ulioandaliwa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), uliobeba mada isemayo, “Kuimarisha Hifadhi ya Jamii na Uendelevu wa Biashara kupitia Ushirikiano wa Kimkakati, Ufanisi wa Mifumo ya Udhibiti na Ushirikiano wa Taasisi.”
Mjadala huo umefanyika Juni  25, 2026 jijini Dar es Salaam, wakati wa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Waajiri ulioambatana na Kongamano la Waajiri, ukijumuisha wadau mbalimbali kutoka sekta ya ajira, hifadhi ya jamii na taasisi nyingine muhimu.
Akichangia katika mjadala huo, Mkuu wa Kitengo cha Takwimu na Hadhari wa WCF, James Tenga, ameelezea umuhimu wa kuimarisha mifumo ya hifadhi ya jamii kwa kuweka nguvu kwenye matumizi ya teknolojia na miradi ya kimkakati kama Jamiinamba.
Habari Picha 12667
Aidha, amebainisha kuwa, tukiweza kushirikiana na kutumia mifumo hii vizuri, itasaidia kupanua wigo wa wanachama, kuongeza fursa za ajira, na kuleta tija pamoja na ukuaji wa kiuchumi kwa mifuko ya hifadhi, waajiri na wafanyakazi kwa ujumla.
Ushiriki wa WCF katika kongamano hilo umeendelea kuimarisha ushirikiano kati ya taasisi za hifadhi ya jamii, waajiri na wadau wengine muhimu, kwa lengo la kukuza mazingira bora ya kazi, kuimarisha ulinzi wa wafanyakazi, na kuhakikisha uendelevu wa shughuli rasmi za biashara nchini.
Habari Picha 12668

You Might Also Like

Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini

Mtindi wa Korosho, Stafeli Wafanyiwa Utafiti UDSM

Utafiti UDOM Wawezesha Plastiki Kutengeneza Mafuta Mazito Ya Viwanda, Mkaa Na Tiles

Majaliwa awasili Kilimanjaro kufungua semina Mambo ya Ndani

Uwepo mwongozo kupima wagonjwa zaidi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Sabasaba 2026 Kuingiza Teknolojia Mpya na Fursa za Uwekezaji
Next Article Tanzania Yaendelea Kuimarisha Usalama Na Ulinzi Wa Taarifa Binafsi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TTCL  Yatumia Tamasha La Kizimkazi Kueleza  Wananchi Fursa Wanazotoa
Makala August 15, 2026
Rais Samia Afurahishwa Na Huduma za NSSF
Habari August 13, 2026
  VETA Yashiriki Tamasha La Kizimkazi
Habari August 13, 2026
Vijana Watakiwa Kuanza Utekelezaji Wa Mipango Waliyonayo
Habari August 12, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?