MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Waziri Sangu, Balozi UAE Wajadili Fursa za Ajira kwa Watanzania
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Waziri Sangu, Balozi UAE Wajadili Fursa za Ajira kwa Watanzania
Habari

Waziri Sangu, Balozi UAE Wajadili Fursa za Ajira kwa Watanzania

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, amekutana na Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Falme za Kiarabu (UAE), Luteni Jenerali Yacoub Mohamed, katika Ofisi Ndogo ya Waziri, jijini Dar es Salaam.
Lengo la kikao hicho lilikuwa ni kujadili fursa mbalimbali za ajira zilizopo katika nchi za Falme za Kiarabu, kutathmini changamoto zinazojitokeza, pamoja na kuweka mikakati ya kuboresha upatikanaji na usimamizi wa fursa za ajira kwa Watanzania.
Habari Picha 10739
Akizungumza katika kikao hicho,  Sangu amesema Serikali itaendelea kushughulikia changamoto mbalimbali zinazojitokeza katika ajira za nje ya nchi kwa kuboresha mifumo ya usimamizi wa mawakala wa ajira, kuhakikisha utekelezaji wa sheria na kulinda maslahi ya wananchi.
Sangu amemshukuru Balozi Yacoub kwa kuwasilisha mapendekezo muhimu kwa Wizara, ambayo yataisaidia kuendelea kuboresha utoaji wa huduma za ajira katika nchi za Falme za Kiarabu.
Kwa upande wake, Balozi Yacoub amemshukuru Waziri kwa ushirikiano mzuri uliopo kati ya Wizara na Ubalozi katika utekelezaji wa majukumu yao.
Kikao hicho kilifanyika jijini Dar es Salaam, na kiliwahusisha watumishi kutoka Wizara pamoja na Ubalozi wa Tanzania nchini Falme za Kiarabu.
Habari Picha 10741
Habari Picha 10742
Habari Picha 10743
Habari Picha 10744
Habari Picha 10745

You Might Also Like

Upotevu Wa Maji Kipimo Cha Utendaji Wa Wakurugenzi Wa Mamlaka Za Maji

Rita Kabati Aahidi Kuimarisha Miundombinu, Kuwatumikia Wananchi Wa Kilolo

Kapinga Afichua Fursa Kubwa za Ajira na Biashara kwa Vijana Nchini Tanzania

Watumishi Wa Magereza Manyara Wapatiwa Majiko Ya Gesi  

Fikeni kwa wakati CMA, mtatuliwe migogoro ya kikazi – Massawe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TRA Yatoa Zawadi Za Krismas Na Mwaka Mpya Kwa Watoto Wenye Mahitaji
Next Article Simbachawene Ashauri Suluhu ya Mafuriko Mpwapwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini
Habari April 17, 2026
Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA Njombe
Habari April 17, 2026
Ufaulu  Wa   Somo La Hisabati  Shida Ya Taifa- Wanu
Habari April 16, 2026
Ofisi ya Rais Mipango Yaomba Bilioni 144.85 kwa Bajeti 2026/27
Habari April 16, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?