MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Waziri Mkuu Mstaafu Pinda Atoa Neno Kwa Vijana, Maadhimisho Miaka 30 VETA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Waziri Mkuu Mstaafu Pinda Atoa Neno Kwa Vijana, Maadhimisho Miaka 30 VETA
Habari

Waziri Mkuu Mstaafu Pinda Atoa Neno Kwa Vijana, Maadhimisho Miaka 30 VETA

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewashauri vijana kujiunga na Mamlaka ya Elimu ya Mafunzo na Ufundi Stadi (VETA) kupata ujuzi na maarifa vitakavyo wawezesha kukuza uchumi wao na Taifa.
Pinda ametoa ushauri huo kwenye Maadhimisho ya miaka 30 ya Uanzishwaji wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) yaliyofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere, Dar es Salaam.
Amesema ufundi stadi na ubunifu vinavyaotolewa na VETA ni muhimu  katika maisha ya kila siku, hakuna anayeweza kukwepa, kwani ni sehemu ya maendeleo ya Taifa.
Amewashauri vijana kutumia fursa hiyo adhimu, kupata maarifa ya ufundi stadi, kupitia vyuo vya VETA, ikiwemo vingine vya watu binafsi ambavyo vinaaminiwa na Mamlaka hiyo kwa  kujiunga kwani vitakawajengea fursa baadaye.
“Naamini hata Mkurugenzi wa atachochea zaidi katika mafunzo haya muhimu ya vijana, kuwavutia zaidi kujiunga, kusonga mbele zaidi kimaendeleo, kupitia ujuzi huu muhimu wa vyuo hivi” amesema.
“Katika matumizi ya kawaida ya nyumbani kuna umeme na maji, vyote hivi vikiharibika, lazima umuite fundi atengeneze huwezi kufanya mwenyewe, hii inaonyesha umuhimu wa wataalamu hawa wanaoandaliwa na Veta,” amesema.
Naye Mkurugenzi Mkuu wa VETA,  Anthony Kasore ameshukuru Pinda kwa kufika kwenye maadhimisho hayo, kwa kuwa anashuhudia matunda ya mchango wake mkubwa alioutoa  kwa Mamlaka hiyo kupitia uboreshaji wa sera na ushauri wake wa mara kwa mara anaowapa.
Kadhalika amewapongeza washiriki wa maadhimisho hayo ya miaka 30, huku akiwataka wananchi kuendelea kujiunga na VETA kwani, mtu yeyoye anaruhusiwa kujiunga na mafunzo hayo.

You Might Also Like

COSTECH Yasaini Mkataba Ujenzi Jengo La Sayansi, Teknolojia, Ubunifu

Matukio Mbalimbali Katika Picha Baada Ya Waziri Mkuu Kuwasilisha Makadirio Ya Mapato Ya Bajeti

Waziri Ridhiwani Akutana Na Balozi Wa Japan Nchini,  Wazungumzia Vijana

Kanisa Lawashika Mkono Shule Ya Msingi Kibamba, Halmashauri Ya Ubungo

Wahitimu Kidato IV 2024, Washauriwa Kubadili Machaguo Ya Tahasusi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Waziri Ridhiwani: Vyama Vya Wafanyakazi, Nguzo Ya Mahusiano Mema Mahali Pa Kazi
Next Article NIT Yajivunia Uanzishwaji Chuo Cha Marubani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?