MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Watu Zaidi Ya 3500 Wapatiwa Huduma Ya Kisheria Wizara Ya Katiba Na Sheria
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Watu Zaidi Ya 3500 Wapatiwa Huduma Ya Kisheria Wizara Ya Katiba Na Sheria
Habari

Watu Zaidi Ya 3500 Wapatiwa Huduma Ya Kisheria Wizara Ya Katiba Na Sheria

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Lyatuu

WIZARA Ya Katiba Na Sheria imetoa huduma ya msaada Wa kisheria kwa watu zaidi ya 3500 katika maonesho ya biashara ya Kimataifa maarufu kama sabasaba yaliyomalizika rasmuI juzi Dar es Salaam .

Aidha katika maonesho hayo Waziri Wa Wizara hiyo, Damas Ndumbaro amejumuika na wanasheria wengine Wa Wizara hiyo Kutoa huduma ya kisheria na kuchukuliwa hatua kwa wahitaji wengine.

Akizungumza,Waziri Ndumbaro amesema katika watu waliohudumiwa wanawake ni 1900 na wanaume ni 1630 na kwamba watalaam Wa Sheria wamekuwa wakishiriki vyema Kutoa huduma hiyo kwa wananchi.

 

Amesema katika maonesho hayo migogoro zaidi ya 500 imepatiwa utatuzi na inahusi masuala ya ardhi,mirathi,ndoa,ukatili Wa kijinsia na kesi za jinai na madai.

Amesema watendaji wanafanya majukumu yao kwa ufasaha wakiwa waametumwa na RAIS Samia Suluhu Hassan Kutoa huduma hiyo ya kisheria na wameonesha ukaribi kwa wananchi.

Amesema mbali na Wizara hiyo Kutoa huduma za kisheria lakini pia katika maonesho hayo zimekuwepo Ofisi nyingine zinazohusuka na mifumo ya utoaji haki,haki jinai na madai ikiwemo RITA,Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali ambaye anasimamia Uendeshaji WA kesi za madai dhidibya serikali.

 

Pia amesema katika maonesho hayo Ofisi ya mwanadheria Mkuu wa Serikali imetoa huduma,TUME Ya Haki Za Binadamu Na Utalawa Bora pamoja na Jeshi la Polisi.

You Might Also Like

TSB Yasisitiza Umuhimu Kuwekeza Kwenye Uchakataji Wa Mkonge

Ulega: Miaka 50 ya ILRI imeinufaisha Tanzania 

December 5, 2024

Kongani za viwanda kutoa ajira nchini.

Muswada Wa Marekebisho Ya Sheria Za Kazi 2024 Wapitishwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ubunifu Na Kufanya Tafiti Kwawezesha UDOM Kupokea Tuzo
Next Article Serikali Yazindua Mafunzo Ya Mtandao Ya Afya Moja
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Twendeni Tukapige Kura Ya Ukombozi, CHAUMMA Yahitimisha Kampeni
Habari October 28, 2025
Elimu Ya Nishati Safi Ya Kupikia Yawafikia Maofisa Dawati Ngazi Ya Mikoa Na Halmashauri
Habari October 27, 2025
Wananchi wahamasishwa kuandika historia mpya kupitia kura
Habari October 25, 2025
Shibuda: WanaMaswa jitokezeni kupiga kura bila woga
Habari October 25, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?