MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Watakiwa kuzingatia sheria wanapohudumia walimu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Watakiwa kuzingatia sheria wanapohudumia walimu
Habari

Watakiwa kuzingatia sheria wanapohudumia walimu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
WAJUMBE na Watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) wametakiwa kutekeleza majukumu yao kwa umakini, kuzingatia sheria wakati wanapotoa huduma kwa Walimu.
Mwenyekiti wa TSC, Profesa Masoud Muruke amesema hayo wakati akifungua  mafunzo kwa wajumbe wa Tume ya kuwajengea uwezo Wajumbe hao juu ya Sheria, Kanuni na Taratibu za Utumishi wa Walimu yanayofanyika mkoani Morogoro.
Amesema lazima kuhakikisha sheria, kanuni na taratibu zinazingatiwa kikamilifu katika kufanya uamuzi unaohusu masuala ya utumishi wa walimu ili kuepuka kuwanyima walimu haki zao na kutoiingizia hasara Serikali pale walimu wanapokata rufaa kutokana na kutotendewa haki.
Amesema katika mafunzo hayo wajumbe wa TSC watapata uelewa wa kutosha hususan katika Mchakato wa kinidhamu, Rufaa kwa walimu na matumizi ya Mfumo wa Kielektroniki wa Tume.
Awali, Katibu wa TSC, Paulina Nkwama amesema kupitia mafunzo hayo ya siku mbili Wajumbe wa Tume watapitishwa kufahamu Majukumu ya Tume, mchakato wa kinidhamu na Rufaa kwa Walimu, Mfumo wa Kielectroniki wa Tume na Mada kuhusu Utunzaji wa Siri za Serikali.
Amesema kuwa Tume ya Utumishi wa Walimu ni mojawapo ya Taasisi inayonufaika na Mradi wa kuimarisha Ujifunzaji na Ufundishaji katika Elimu ya Awali na Msingi (Mradi wa BOOST).
Amesema Mradi huo unatekelezwa kwa mkopo wa riba nafuu kutoka Benki ya Dunia wenye thamani ya Dola za Kimarekani Milioni 500.
Amesema utekelezaji wa mradi huo ni wa kipindi cha miaka mitano kuanzia mwaka wa fedha 2021/22 hadi 2025/26.
Maelezo yake ni kwamba,  katika muda wa utekelezaji tume hiyo ilitengewa kiasi cha Dola za Kimarekani milioni mbili  sawa na Sh. Bilioni 4.68.

You Might Also Like

Katibu Mkuu CCM Dkt. Nchimbi Akutana na Katibu Mkuu CRC

Rais Samia atambua mchango wa NHIF, WCF

REA Kusambaza Majiko Banifu 10,650 Mkoa Wa Pwani

Ubovu wa Kituo cha Daladala Bunju Sokoni Watesa Abiria

Tanzania Yapiga Hatua Kwenye Elimu ya Kidijitali Kupitia Ushirikiano na China

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja
Next Article RAAWU yapokea migogoro 16, yaishughulikia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?