MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Waratibu Wa Kitaifa Wa Nchi Za Jumuiya Ya Ukanda Wa Maziwa Makuu Wakutana Kinshasa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Waratibu Wa Kitaifa Wa Nchi Za Jumuiya Ya Ukanda Wa Maziwa Makuu Wakutana Kinshasa
Habari

Waratibu Wa Kitaifa Wa Nchi Za Jumuiya Ya Ukanda Wa Maziwa Makuu Wakutana Kinshasa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
Mkutano wa 20 wa Kawaida wa Waratibu wa Kitaifa wa Nchi za Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) umefanyika, jijini Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
Mkutano huo ni maandalizi ya Mkutano wa 19 wa Mawaziri wa Mambo ya Nje (RIMC) na wa Wakuu wa Nchi na Serikali (SUMMIT) wa Jumuiya hiyo, utakaofanyika Novemba 13 na 15, 2025.
Waziri wa Ushirikiano wa Kikanda wa DRC, Floribert Anzuluni Isiloketshi, amefungua mkutano huo na kuwataka waratibu hao kuwasilisha mapendekezo yatakayoboresha utendaji wa Sekretarieti ya Maziwa Makuu ili iweze kutekeleza kwa ufanisi majukumu yake ya msingi,
Ikiwemo kuimarisha amani, usalama na maendeleo katika nchi 12 wanachama wa Jumuiya hiyo.
Habari Picha 10225
Tanzania, ikiwa miongoni mwa waasisi wa ICGLR, inashiriki kikamilifu kupitia Mratibu wa Kitaifa na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Ellen Maduhu, ambaye anaongoza ujumbe wa Tanzania.
Katibu Mtendaji wa ICGLR, Balozi João Samuel Caholo, amesema licha ya mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wake, bado zinahitajika jitihada zaidi kuhakikisha amani ya kudumu na usalama katika Ukanda huo, hususan katika DRC, Sudan, Sudan Kusini na Jamhuri ya Afrika ya Kati.
Ameeleza kuwa umasikini, ukosefu wa usawa na wananchi kutozifikia rasilimali za nchi zao ni miongoni mwa vyanzo vya migogoro barani Afrika, akisisitiza umuhimu wa kukomesha migogoro kwa kushughulikia mizizi yake.
Habari Picha 10226
Habari Picha 10227
Habari Picha 10228

You Might Also Like

Wanawake Taasisi za Kitafiti Watoa Furaha Kwa Waliojifungua, Madaktari, Manesi Kawe Kituo Cha Afya

Watafiti Mataifa 10 Kujadili ElimuMsingi Nchini

Tanzania Ipo Tayari Kwa Mazungumzo Ya Urejeshwaji Malikale

Chalamila: Serikali Imewekeza Kupatikana Wataalamu Wa Usingizi, Yapunguza Vifo Vinavyotokana Na Upasuaji

Programu Ya Samia Extended Scholarship Yazinduliwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wabunge Sita Wateuliwa Na Rais
Next Article Zungu Achaguliwa Kuwa Spika Mpya Wa Bunge La 13
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?