MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wananchi Wachukue Hatua Iwapo Hawajaridhika Na Huduma-TCF
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wananchi Wachukue Hatua Iwapo Hawajaridhika Na Huduma-TCF
Habari

Wananchi Wachukue Hatua Iwapo Hawajaridhika Na Huduma-TCF

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Lucy Lyatuu

JUKWAA La Watumiaji Tanzania (TCF) limesema wataka wananchi kuchukua hatua  iwapo  watapata huduma ambayo haijakidhi viwango husika na kutoridhisha.

Mwenyekiti wa Jukwaa hilo,Daud Daud amesema hayo  Dares Salaam wakati akizungumzia maadhimisho ya siku ya haki za mtumiaji duniani ambazo hufanyika kila mwaka Machi 15.

Amesema mtumiaji wa  anapaswa kuwa na nguvu ya kufanya maamuzi sahihi kwa kupata huduma salama,nafuu na endelevu.

“Kila mtu ana haki ya kuishi katika jamii inayowajibika kulinda mazingira na rasilimali kwa vizazi vijavyo,” amesema nakuongeza kuwa  hatua ya kwanza ambayo mwananchi anapaswa kujua ni kuwasiliana na mtoa huduma.

Amesema iwapo mtoa huduma hakutoa majibu ama  maelekezo yanayoridhisha  hapo mtumiaji anapaswa kuwasiliana na mdhibiti za huduma ikiwa ni Pamoja na kuwasilisha nyaraka zozote alizofikisha kwa mtoa huduma.

Kuhusu maadhimisho hayo amesema kwa mwaka  2025 maadhimisho yatafanyika mkoani  Morogoro ikibebwa na kauli mbiu ya Haki na Maisha Endelevu kwa Mtumiaji.

Amesema maadhimisho hayo yanakusudia kuhamasisha matumizi salama na endelevu ya rasilimali huku yakitoa jukwaa la majadiliano kati ya watumiaji, watoa huduma na wadau wa maendeleo.

Amesema Jukwaa hilo kwa kushirikiana na The Foundation For Civil Society (FCS) linaadhimisha siku hiyo ikiw a na lengo la kulinda haki za watumiaji n a kuhimiza matumizi salama na endelevu ya huduma, hiyo ni fursa ya pekee kwa wananchi kupata elimu kuhusu haki zao.

Amesema katika maadhimisho hayo TCF inahimiza matumizi salama ya huduma katika sekta za nishati,mawasiliano na usafiri wa ang ana nchi kavu, serikali inalenga kuhakikisha kuwa ifikapo 2034 asilimia 80 ya watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia.

Daud amesema  kwa upande wa mawasiliano, usalama wa  mtumiaji mtandaoni ni ajenda muhimu mwaka 2025 ambapo inahimiza ulinzi wa faragha n a matumizi salama ya huduma za kidigitali, pia usalama katika sekta ya usafiri wa ang ana nchi kavu utaangazwa ili kuwa na huduma bora kwa watumiaji.

Kwa upande wake Ofisa Mawasiliano wa FCS Sarah Masenga amesema  wameshirikiana na Jukwaa hilo ili kuongeza uelewa kwa waanchi kuhusu huduma wanazozipata na sehemu wanayotakiwa kupeleka malalamiko yao.

Jukwaa la watumiaji linajumuisha mabaraza ya kutetea watumiaji wa huduma zinazodhibitiwa ambayo ni LATRA-CCC, TCAA -CCC,EWURA-CCC NA TCRA-CCC.

 

 

 

You Might Also Like

Profesa Kabudi Atoa Maagizo Mazito Bodi Ya Ithibati Ya Waandishi Wa Habari

Matukio Mbalimbali Katika Picha Baada Ya Waziri Mkuu Kuwasilisha Makadirio Ya Mapato Ya Bajeti

CCCC Yakutana na Wanahabari, Yapanga Mikakati Mipya 2025

Bunge lapitisha muswada marekebisho ya sheria za Hifadhi ya Jamii

TUGHE, DMF wateta na Ridhiwan Kikwete

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Faru Weusi, Simba, Tembo Waongezeka Ngorongoro
Next Article Gridi Ya Taifa Ni Dhaifu Kwa Mikoa Ya Kaskazini-Mramba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?