MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRB
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRB
Habari

Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRB

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Lucy Lyatuu
BOdi Ya Usajili Wabunifu Majengo Na Wakadiriaji Majenzi Nchini ( AQRB) imesema kwa mwaka 2025 wapo waendelezaji Majengo 103 ambao kesi zao ziko mahalamani kwa kushindwa kutumia watalaam waliosajiliwa na Bodi.
Kaimu Msajili Wa Bodi, Daniel Matondo amesema hayo katika Banda la Bodi hio lililoko katika maoneshobya 49 Ya Kimaraifa Ya Biashara  maarufu kama sabasaba yanayoendelea Dar es Salaam.
Amesema  kimsingi uendelezaji Wa Majengo  kama ya makanisa, viwanja vya michezo na stoo kubwa za kuhifadhia mizigo vyote vinahitaji Wabunifu na Wakadiriaji.
“Hivyo kama unaendeleza jengo la aina hio hakikisha unawasiliana na bodi Ili usikumbwe na tatizo na Kila mwaka tunadhibiti Ili watalaam wafanye kazi Yao kwa weledi,” amesema.
Amesema wapo watalaam wanaotozwa faini,kufutwa kabisa na wengine kusimamishwa pindi wanapofanya kazi kinyume na miongozo inayowaongoza.
Aidha amewakaribisha wananchi kufika katika Banda lao katika maonesho hayo Ili Kupata elimu nab Kujifunza zaidi kujua hasara na faida za kutumia Bodi”Watu wafike kwenye maonesho ya sabasaba  kujua majukumu ya  Bodi pamoja na huduma wanazotoa,” amesema na  kuongeza kuwa Bodi Iko kisheria ambapo inafanya kazi Kudhibiti taaluma hio.
Aidha amesema licha ya kuwepo kwa Bodi hiyo wapi waendelezaji Majengo wanaojenga pasipo kutumia watalaam licha ya kwamba Sheria inaelekeza lazima ujenzi. Wa jengo lolote la gorofa kuhusisha mtaalam aliyesajiliwaa na Bodi.

You Might Also Like

Rais Wa CWT Suleiman Ikomba Sasa Ni Daktari

NBS: Utumiaji Wa Takwimu Nyenzo Muhimu Kwa Mama Lishe

July 10, 2025

TSB Yatangaza Fursa Za Kilimo, Uwekezaji Wa Mkonge

Kamati Ya Bunge Yakunwa Na TEA 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TSB Yatangaza Fursa Za Kilimo, Uwekezaji Wa Mkonge
Next Article Toleo La Sheria Zilizotafsiriwa Kwa Kiswahili Kutoka Agosti
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?