MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRNa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRNa
Habari

Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRNa

Author
By Author
Share
2 Min Read
Lucy Lyatuu
BOdi Ya Usajili Wabunifu Majengo Na Wakadiriaji Majenzi Nchini ( AQRB) imesema kwa mwaka 2025 wapo waendelezaji Majengo 103 ambao kesi zao ziko mahalamani kwa kushindwa kutumia watalaam waliosajiliwa na Bodi.
Kaimu Msajili Wa Bodi, Daniel Matondo amesema hayo katika Banda la Bodi hio lililoko katika maoneshobya 49 Ya Kimaraifa Ya Biashara  maarufu kama sabasaba yanayoendelea Dar es Salaam.
Amesema  kimsingi uendelezaji Wa Majengo  kama ya makanisa, viwanja vya michezo na stoo kubwa za kuhifadhia mizigo vyote vinahitaji Wabunifu na Wakadiriaji.
“Hivyo kama unaendeleza jengo la aina hio hakikisha unawasiliana na bodi Ili usikumbwe na tatizo na Kila mwaka tunadhibiti Ili watalaam wafanye kazi Yao kwa weledi,” amesema.
Amesema wapo watalaam wanaotozwa faini,kufutwa kabisa na wengine kusimamishwa pindi wanapofanya kazi kinyume na miongozo inayowaongoza.
Aidha amewakaribisha wananchi kufika katika Banda lao katika maonesho hayo Ili Kupata elimu nab Kujifunza zaidi kujua hasara na faida za kutumia Bodi”Watu wafike kwenye maonesho ya sabasaba  kujua majukumu ya  Bodi pamoja na huduma wanazotoa,” amesema na  kuongeza kuwa Bodi Iko kisheria ambapo inafanya kazi Kudhibiti taaluma hio.
Aidha amesema licha ya kuwepo kwa Bodi hiyo wapi waendelezaji Majengo wanaojenga pasipo kutumia watalaam licha ya kwamba Sheria inaelekeza lazima ujenzi. Wa jengo lolote la gorofa kuhusisha mtaalam aliyesajiliwaa na Bodi.

You Might Also Like

Dkt Biteko Ampongeza Mwanafunzi Aliyeelezea Miradi Ya Umeme

Sagini Amwelezea Kaluta Amir Abeid Ni Alama Ya Kuigwa

Utafiti UDOM Wawezesha Plastiki Kutengeneza Mafuta Mazito Ya Viwanda, Mkaa Na Tiles

Ubovu wa Kituo cha Daladala Bunju Sokoni Watesa Abiria

Wanafunzi 431, Watumishi 52 Watembelea TARI kujifunza Kilimo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TSB Yatangaza Fursa Za Kilimo, Uwekezaji Wa Mkonge
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TSB Yatangaza Fursa Za Kilimo, Uwekezaji Wa Mkonge
Habari July 6, 2025
Elimu Ya Dawa Za Kulevya Kutolewa Kwa Wanafunzi
Habari July 6, 2025
Posta Yaleta   Usafiri Wa Kitalii Ndani Ya Sabasaba
Habari July 6, 2025
Mradi wa Maadili Katika Utafiti Wa Binadamu Na Huduma Za Afya Wafanywa UDSM kwa Ushirikiano wa Kimataifa
Habari July 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?