MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRB
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRB
Habari

Waendelezaji Majengo 103 Kesi Ziko Mahakamani, -AQRB

Author
By Author
Share
2 Min Read
Lucy Lyatuu
BOdi Ya Usajili Wabunifu Majengo Na Wakadiriaji Majenzi Nchini ( AQRB) imesema kwa mwaka 2025 wapo waendelezaji Majengo 103 ambao kesi zao ziko mahalamani kwa kushindwa kutumia watalaam waliosajiliwa na Bodi.
Kaimu Msajili Wa Bodi, Daniel Matondo amesema hayo katika Banda la Bodi hio lililoko katika maoneshobya 49 Ya Kimaraifa Ya Biashara  maarufu kama sabasaba yanayoendelea Dar es Salaam.
Amesema  kimsingi uendelezaji Wa Majengo  kama ya makanisa, viwanja vya michezo na stoo kubwa za kuhifadhia mizigo vyote vinahitaji Wabunifu na Wakadiriaji.
“Hivyo kama unaendeleza jengo la aina hio hakikisha unawasiliana na bodi Ili usikumbwe na tatizo na Kila mwaka tunadhibiti Ili watalaam wafanye kazi Yao kwa weledi,” amesema.
Amesema wapo watalaam wanaotozwa faini,kufutwa kabisa na wengine kusimamishwa pindi wanapofanya kazi kinyume na miongozo inayowaongoza.
Aidha amewakaribisha wananchi kufika katika Banda lao katika maonesho hayo Ili Kupata elimu nab Kujifunza zaidi kujua hasara na faida za kutumia Bodi”Watu wafike kwenye maonesho ya sabasaba  kujua majukumu ya  Bodi pamoja na huduma wanazotoa,” amesema na  kuongeza kuwa Bodi Iko kisheria ambapo inafanya kazi Kudhibiti taaluma hio.
Aidha amesema licha ya kuwepo kwa Bodi hiyo wapi waendelezaji Majengo wanaojenga pasipo kutumia watalaam licha ya kwamba Sheria inaelekeza lazima ujenzi. Wa jengo lolote la gorofa kuhusisha mtaalam aliyesajiliwaa na Bodi.

You Might Also Like

Watanzania Washauriwa Kula Senene, Kumbikumbi, Msusa, Ngogwe Kuepuka Udumavu

Mramba Afungua Mafunzo Ya Teknolojia Ya Nishati Jua Kwa Watalaam

PSSSF MSHINDI WA KWANZA TUZO ZA UANDAAJI BORA MAHESABU ZA NBAA, 2023

TARI Yatikisa Sabasaba Na Mti Wa ‘Allspice’

SOKO LA MADINI LA 43 LA ZINDULIWA TUNDURU RUVUMA.

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TSB Yatangaza Fursa Za Kilimo, Uwekezaji Wa Mkonge
Next Article Toleo La Sheria Zilizotafsiriwa Kwa Kiswahili Kutoka Agosti
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Majaliwa Apongeza Jeshi La Magereza Kurasimisha Ujuzi Kwa Wafungwa
Habari August 27, 2025
Mapokezi Ya Katibu Mkuu CCM  Dkt Migiro CCM, Aahidi Ushirikiano
Habari August 27, 2025
Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini
Habari August 27, 2025
VETA Yaanzisha Kozi Mpya ya Teknolojia ya Mifumo ya Viwandani
Habari August 26, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?