MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: UDSM,YULHO kujenga kituo cha kupima madini
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > UDSM,YULHO kujenga kituo cha kupima madini
Habari

UDSM,YULHO kujenga kituo cha kupima madini

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kwa kushirikiana na Kampuni ya YULHO kutoka Korea Kusini wanatarajia kujenga kituo kikubwa kitakachokuwa kinapima aina zote za madini zinazopatikana nchini.
Akizungumza wakati wa kutia saini makubaliano hayo, Makamu Mkuu wa chuo, Proesa William Anangisye amesema kuwepo kwa kituo hicho kitakachogharimu zaidi ya Sh Bilioni 27 kitapunguza gharama ya kupeleka sampuli nje kwa ajili ya  kupima.
“Uwepo wa kituo hiki  kitaharakisha upatikanaji wa sampuli za madini ikiwa ni pamoja na kurahisisha mchakato mzima wa majibu ya vipimo,,” amesema.
Amesema pamoja na maabara itakayojengwa kituoni hapo pia kutakuwa na  shule ya kufundisha wataalamu wa madini.
“Kituo hiki kitakuwa ni sehemu ya kichocheo cha kufanya utafiti zaidi kwa watanzania na kuongeza ujuzi,” amesema.
Kwa upande wake Rais wa Kampuni ya YULHO, Jae Seong Lee amesema lengo la kujenga kituo hicho nchini ni kusambaza teknolojia mpya za upimaji na utafutaji madini na kuongeza ajira kwa watanzania.
Naye Kaimu wa Shule Kuu ya Madini na Jiosayansi,  Dkt Abubakary Salama amesema kituo hicho kikkamilika kitakuwa na ajira ya zaidi watu 125 ambao 25 watatoka UDSM na zaidi ya 100 watakuwa nje ya chuo.
Amesema ujenzi huo unaanza mwaka huu wa fedha na unatarajiwa kukamilika ndani ya miaka miwili.

You Might Also Like

Mgombea Udiwani Manyoni Adhalilishwa, Rushwa Yadaiwa Kuvuruga Kura Za Maoni

Baraza la uuguzi na ukunga lawakaribisha wenye malalamiko

Mfumo wa Usalama Majumbani, Umewakumbuka Wenye Ulemavu

Kongani za viwanda kutoa ajira nchini.

Waratibu Wa Kitaifa Wa Nchi Za Jumuiya Ya Ukanda Wa Maziwa Makuu Wakutana Kinshasa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia azindua skuli ya maandalizi Tasani
Next Article Wafanyakazi fahamuni vihatarishi sehemu za kazi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?