MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tutuba: Noti Mpya Kuanza Kutumika Februari Mosi mwaka huu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tutuba: Noti Mpya Kuanza Kutumika Februari Mosi mwaka huu
Habari

Tutuba: Noti Mpya Kuanza Kutumika Februari Mosi mwaka huu

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: GAVANA wa Benki Kuu ( BOT), Emmanuel Tutuba amesema noti mpya za Tanzania zenye saini ya Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba, pamoja na ya kwake, zinatarajiwa kuingia kwenye mzunguko Februari Mosi, mwaka huu.
Hayo ameyasema gavana Tutuba wakati akimkabidhi Waziri Nchemba, Noti kifani za Shilingi 10,000, 5000, 2000 na 1000 katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha, Jijini Dar es Salaam.
Amemweleza Waziri Nchemba kuwa kazi ya uchapaji upya wa noti kwa marejeo ya toleo la mwaka 2010, imekamilika.
Amesema wananchi wamejulishwa  kupitia taarifa iliyotolewa kupitia Gazeti la Serikali.
Amesema noti hizo zitatumika sambamba na zilizopo hivi sasa, ambazo zina mwonekano wa zinazotumika hivi sasa zilizotolewa Mwaka 2010.
Ametaja mwonekano huo kuwa ni alama za usalama, ukubwa, rangi na mambo mengine, isipokuwa ina marekebisho kwenye saini ya Waziri wa Fedha, na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania.
“Saini ya aliyekuwa Waziri wa Fedha ambaye hivi sasa ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango imebadilishwa na kuwekwa Saini yako Dkt. Mwigulu Nchemba,
“Na Saini ya aliyekuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania aliyestaafu, Profesa Florens Luoga, imebadilishwa na kuwekwa Saini ya Gavana wa Benki Kuu wa sasa, Emmanuel Tutuba,” amesema.
Naye Waziri Nchemba akizungumza
baada ya kupokea sampuli za Noti hizo mpya, amemshukuru Rais  Samia Suluhu Hassan kwa kuruhusu jambo hilo kufanyika.
Pia amempongeza Gavana Tutuba kwa kusimamia mchakato wa uchapaji wa noti hizo kwa weledi na uadilifu mkubwa.
“Mpaka kufikia hatua hii ni heshima kubwa kwa Taifa letu na inaendeleza heshima ya wataalam wetu mnavyoweza kusimamia kwa umakini mambo yenye maslahi mapana kwa nchi yetu,” amesema.

You Might Also Like

Miradi Dodoma Yamkuna Rais Samia

Serikali Yaahidi Kupatia Dawa Kilio Cha Ushuru Kwa Malori

RC Chalamila Ataka Reli Za Ndani Ya Mkoa Kusafirisha Abiria, Kupunguza Msongamano

Vipima Ulevi Zaidi Ya 3000 Vyakabidhiwa Polisi Na Latra

Kingoba : Sheria Inawataja Waliotoa Mchango Sekta Ya Habari Ambao Sio Waandishi Wa Habari

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kamati Ya Bunge Ustawi Na Maendeleo Ya Jamii Yaridhishwa Wananchi Wanavyofikiwa
Next Article Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?