MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TUGHE, DMF wateta na Ridhiwan Kikwete
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TUGHE, DMF wateta na Ridhiwan Kikwete
Habari

TUGHE, DMF wateta na Ridhiwan Kikwete

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kwa kushirikiana na Taasisi ya Doris Mollel Foundation (DMF) wamefanya mazungumzo wakiwa na
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwan Kikwete Jijini Dodoma.
Katika kikao hicho, pamoja na mambo mengine walipata nafasi ya kujadili masuala mbalimbali ya Wafanyakazi ikiwemo utekekezaji wa ahadi ya Serikali kuhusu nyongeza ya siku za likizo ya Uzazi kwa wafanyakazi wanaojifungua watoto njiti kama ambavyo ilitangazwa na Makamu wa Rais,. Dkt. Philip Mpango.
Dkt Mpango alitangaza hivyo  alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika  kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Mei Mosi 2024 Kitaifa Jijini Arusha.
Katibu Mkuu wa TUGHE ambaye pia ni Katibu Mkuu wa TUCTA,  Hery Mkunda amemweleza Waziri  huyo changamoto mbalimbali wanazopata wafanyakazi wanaojifungua watoto njiti ikiwemo kukosa haki zao muhimu katika maeneo yao ya kazi  na kukosa muda wa kuwahudumia watoto hao.
Pia alimwomba waziri kulichukua suala hilo na kulipeleka katika hatua zinazofuata ili kuwezesha kutatua changamoto hizo.
Kwa upande wake Waziri Kikwete  ameahidi kulifanyia kazi suala hilo kama ambavyo Viongozi hao wameliwasilisha kuhakikisha linafanyika na kukamilika kwa wakati  kwa kuzingatia ni maelekezo kutoka kwa mamlaka ili kuleta motisha kulinda Afya ya mama na mtoto.
Naye Mkurugenzi wa DMF, Doris Mollel ameishukuru Serikali kwa kuendelea kushirikiana na wadau katika kutekeleza Ajenda ya masuala ya Watoto njiti na kubainisha kuwa Taasisi yao imekuwa ikipata malalamiko kutoka kwa baadhi ya Wafanyakazi kutoka sehemu mbalimbali kuhusu kukosa haki zao wanapojifungua.
Hivyo ameiomba seeikali  kusaidia utatuzi wa changamoto kwa kusimamia kupitishwa kwa sheria hiyo.
Kikao hicho kilihudhuriwa na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Zuhura Yunusi, Kaimu Naibu Mkuu wa TUCTA Said Wamba,  Naibu Katibu Mkuu wa TUGHE, Rugemalira Rutatina

You Might Also Like

Rais Samia aungwa mkono na Tughe, watalii 800 watua Ngorongoro

RC Dodoma Atoa Maagizo Kwa Ma – DC Kuhusu Ukame

Vyuo vya Kilimo vishirikishwe mradi wa BBT

Wanafunzi Shule Ya Anlex, Walimu Wao Watinga Bungeni

Waziri Mkuu Majaliwa Amwakilisha Dkt.Mpango Mahafali Ya 43 OUT

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Theluthi mbili ya nguvu kazi ya taifa ipo kwenye kilimo
Next Article Wakandarasi Miradi wa  TAZA Watakiwa Kukamilisha Kazi kwa Wakati 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?