MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TUGHE, DMF wateta na Ridhiwan Kikwete
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TUGHE, DMF wateta na Ridhiwan Kikwete
Habari

TUGHE, DMF wateta na Ridhiwan Kikwete

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kwa kushirikiana na Taasisi ya Doris Mollel Foundation (DMF) wamefanya mazungumzo wakiwa na
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwan Kikwete Jijini Dodoma.
Katika kikao hicho, pamoja na mambo mengine walipata nafasi ya kujadili masuala mbalimbali ya Wafanyakazi ikiwemo utekekezaji wa ahadi ya Serikali kuhusu nyongeza ya siku za likizo ya Uzazi kwa wafanyakazi wanaojifungua watoto njiti kama ambavyo ilitangazwa na Makamu wa Rais,. Dkt. Philip Mpango.
Dkt Mpango alitangaza hivyo  alipomwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika  kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Mei Mosi 2024 Kitaifa Jijini Arusha.
Katibu Mkuu wa TUGHE ambaye pia ni Katibu Mkuu wa TUCTA,  Hery Mkunda amemweleza Waziri  huyo changamoto mbalimbali wanazopata wafanyakazi wanaojifungua watoto njiti ikiwemo kukosa haki zao muhimu katika maeneo yao ya kazi  na kukosa muda wa kuwahudumia watoto hao.
Pia alimwomba waziri kulichukua suala hilo na kulipeleka katika hatua zinazofuata ili kuwezesha kutatua changamoto hizo.
Kwa upande wake Waziri Kikwete  ameahidi kulifanyia kazi suala hilo kama ambavyo Viongozi hao wameliwasilisha kuhakikisha linafanyika na kukamilika kwa wakati  kwa kuzingatia ni maelekezo kutoka kwa mamlaka ili kuleta motisha kulinda Afya ya mama na mtoto.
Naye Mkurugenzi wa DMF, Doris Mollel ameishukuru Serikali kwa kuendelea kushirikiana na wadau katika kutekeleza Ajenda ya masuala ya Watoto njiti na kubainisha kuwa Taasisi yao imekuwa ikipata malalamiko kutoka kwa baadhi ya Wafanyakazi kutoka sehemu mbalimbali kuhusu kukosa haki zao wanapojifungua.
Hivyo ameiomba seeikali  kusaidia utatuzi wa changamoto kwa kusimamia kupitishwa kwa sheria hiyo.
Kikao hicho kilihudhuriwa na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Zuhura Yunusi, Kaimu Naibu Mkuu wa TUCTA Said Wamba,  Naibu Katibu Mkuu wa TUGHE, Rugemalira Rutatina

You Might Also Like

Taasisi Ya Confucius Imezindua Kitabu Cha Kujifunza

Biashara Kati Ya Tanzania Na Uturuki Yapanuka Kwa Kiasi  Kikubwa

Watafiti Mataifa 10 Kujadili ElimuMsingi Nchini

TSB, Wizara ya kilimo yaweka mpango wa vituo vya usindikaji mkonge

Biteko Aiwakilisha Tanzania, Uapisho Wa Rais Boko, Botswana

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Theluthi mbili ya nguvu kazi ya taifa ipo kwenye kilimo
Next Article Wakandarasi Miradi wa  TAZA Watakiwa Kukamilisha Kazi kwa Wakati 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?