MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TRAWU yapigania mkataba hali bora za kazi miaka 11 sasa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TRAWU yapigania mkataba hali bora za kazi miaka 11 sasa
Habari

TRAWU yapigania mkataba hali bora za kazi miaka 11 sasa

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

CHAMA cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU), kinapigania Mkataba wa Hali Bora za Kazi kwa Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), kwa miaka 11 sasa.

Naibu Katibu Mkuu wa TRAWU, Edo Makata amesema hayo alipozungumza na Gazeti la Mfanyakazi.

Malola amesema tokea 2013 TRC ilipovunja mkataba na wafanyakazi wake  kutokana na sababu za kisheria, kesi iliendeshwa mahakamani mpaka 2020 ambapo mwajiri alitakiwa kukaa nao ili kutengeneza mkataba.

“Tumeanza mazungumzo na tayari tunayo nakala ya kuanzia mahali ambapo tunaweza tukaingia mkataba, na tayari tupo kwenye hatua fulani upande wa serikali na mazungumzo yanaendelea.
“Tunaamini kwamba mkataba wa hali bora unaweza kufikiwa kwa wafanyakazi wa TRC lakini imekuwa ni changamoto kubwa,” amesema.
Amesema upande wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), suala la mkataba na hali bora limekuwa likizingatiwa kwa wakati.

You Might Also Like

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Ajiandikisha Kijijijni Nandagala

Kipaji pekee hakitoshi katika kufanya kazi za kihabari – Kipangula

Mpango Mkakati wa Takwimu wazinduliwa

Serikali Kuboresha , Kuweka Mazingira Wezeshi Kwa Vijana

Awamu Ya Pili Uboreshaji, Uwekaji Wazi Wa Dafatri La Wapiga Kura Kuanza Mei

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Uwepo mwongozo kupima wagonjwa zaidi
Next Article Sheria ya ajira, mahusiano kazini ipitiwe upya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?